JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Ripoti ya CAG

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni, imevuja.

Mkono kulishwa sumu… Marekani, Uingereza zaibana Tanzania

Serikali za Marekani na Uingereza zimetaka maelezo kutoka Serikali ya Tanzania juu ya madai kwamba

Nyaraka za ufisadi zachomwa Ngorongoro

*Ni wiki moja baada ya vigogo 5 kusimamishwa

*Yaelezwa lengo ni kupoteza ushahidi wa ufisadi

*Majaar akomaa, Nyalandu alinda watuhumiwa

Nyaraka kadhaa muhimu zinazohusu ufisadi ndani ya Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro (NCAA), zimechomwa moto ndani ya ofisi.

Loliondo yageuzwa Kenya

*Siri sasa yafichuka, asilimia 70 si Watanzania

*Uhamiaji Mkoa Arusha lawamani kwa rushwa

 

 

Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Arusha inatuhumiwa kuwa chanzo cha raia wengi wa Kenya kujipenyeza ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kutangaza kuwania nafasi mbalimbali katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba, mwaka huu.

Polisi ‘walivyoua’ mtoto rumande

Jeshi la polisi limeingia lawamani baada ya kituo kidogo cha polisi Kova – Bwaloni, jijini Dar es Salaam kudaiwa kuchangia kifo cha mtoto wa miezi sita aliyefia rumande baada ya mama yake kuwekwa ndani.

Anguko CCM 2015 litamjenga JK

Kindumbwendumbwe cha uchaguzi kwa ajili ya kuwapata wenyeviti wa serikali za mitaa na wenyeviti wa vitongoji ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umemalizika hivi karibuni. Naam, kuna walioshinda na walioshindwa.