Category: Siasa
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Madai ya Nyalandu na majibu ya hoja zake
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye kichwa cha habari;
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
Wakenya waingiza mifugo Hifadhi ya Serengeti
Huu ni mpango mahsusi wa kuharibu utalii wa Tanzania na kuvutia watalii katika mbuga ya Maasai Mara nchini Kenya.
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
Habari mpya
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
- MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi
- Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli
- Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI
- Rais Dkt. Samia awasili Jijini Moscow nchini Urusi
- Dk Dugange : Serikali kuimarisha mtandao wa barabara Newala Mjini
- Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri wa Rais masuala ya afya ya uzazi mama na mtoto
- Kunenge awaagiza wakurugenzi kuacha kuwalea watendaji wanaosababisha migogoro ya ardhi
- Walimu kuoneshana ubabe wa ufundishaji, mamilioni yakisubiri washindi
- Jukwaa la Biashara la Viwango kufanyika Juni 5 Mlimani City
- Tanzania yashiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi, Geneva