Category: Siasa
Putin anakuja Tanzania
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Ni ufisadi wa kutisha Geita
Viongozi wa kijiji wajichotea fedha ‘kiulaini’
Vigogo watatu wa Kijiji cha Mawemeru kilichopo katika Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita, mkoani hapa wanatuhumiwa kujigeuza “Miungu-watu” kwa kutafuna fedha za wanakijiji Sh 50 milioni.
Kwa nafasi hiyo, vigogo hao wanadaiwa kukigeuza kijiji hicho “shamba la bibi” huku wananchi wanaojitokeza kuhoji taarifa ya mapato na matumizi wakitishwa na wengine wakiishia kuswekwa ndani.
Vigogo waliokumbwa na tuhuma hizo ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Agness Matibu, Mwenyekiti wa Kijiji, Mussa Maduhu, pamoja na Mchumi, Philipo Kamuye, ambao, kwa kushirikiana wanadaiwa kutafuna kiasi hicho cha fedha.
Fedha hizo, zaidi ya Sh 50 milioni zinatokana na vyanzo vya ndani vya mapato yatokanayo na kijiji. Kadhalika sehemu ya fedha hizo hutokana na mapato yatokanayo na wawekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi.
Vyanzo vya gazeti hili vilidai kuwa vigogo hao kwa pamoja wameshirikiana kufisadi mapato ya kijiji na kwamba suala lolote linalohusu fedha zitokanazo na vyanzo hivyo, hakuna mwananchi anayeruhusiwa kuhoji na hawajawahi kusomewa taarifa za mapato na matumizi tangu mwaka 2011.
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
Habari mpya
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
- MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi
- Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli
- Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI
- Rais Dkt. Samia awasili Jijini Moscow nchini Urusi
- Dk Dugange : Serikali kuimarisha mtandao wa barabara Newala Mjini
- Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri wa Rais masuala ya afya ya uzazi mama na mtoto
- Kunenge awaagiza wakurugenzi kuacha kuwalea watendaji wanaosababisha migogoro ya ardhi
- Walimu kuoneshana ubabe wa ufundishaji, mamilioni yakisubiri washindi
- Jukwaa la Biashara la Viwango kufanyika Juni 5 Mlimani City
- Tanzania yashiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi, Geneva