Category: Siasa
Putin anakuja Tanzania
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Ni ufisadi wa kutisha Geita
Viongozi wa kijiji wajichotea fedha ‘kiulaini’
Vigogo watatu wa Kijiji cha Mawemeru kilichopo katika Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita, mkoani hapa wanatuhumiwa kujigeuza “Miungu-watu” kwa kutafuna fedha za wanakijiji Sh 50 milioni.
Kwa nafasi hiyo, vigogo hao wanadaiwa kukigeuza kijiji hicho “shamba la bibi” huku wananchi wanaojitokeza kuhoji taarifa ya mapato na matumizi wakitishwa na wengine wakiishia kuswekwa ndani.
Vigogo waliokumbwa na tuhuma hizo ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Agness Matibu, Mwenyekiti wa Kijiji, Mussa Maduhu, pamoja na Mchumi, Philipo Kamuye, ambao, kwa kushirikiana wanadaiwa kutafuna kiasi hicho cha fedha.
Fedha hizo, zaidi ya Sh 50 milioni zinatokana na vyanzo vya ndani vya mapato yatokanayo na kijiji. Kadhalika sehemu ya fedha hizo hutokana na mapato yatokanayo na wawekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi.
Vyanzo vya gazeti hili vilidai kuwa vigogo hao kwa pamoja wameshirikiana kufisadi mapato ya kijiji na kwamba suala lolote linalohusu fedha zitokanazo na vyanzo hivyo, hakuna mwananchi anayeruhusiwa kuhoji na hawajawahi kusomewa taarifa za mapato na matumizi tangu mwaka 2011.
- Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
Habari mpya
- Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
- Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
- Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji
- Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
- Shujaa wa vita ya Kagera afungua sanduku la historia, atoa somo kwa kizazi cha sasa
- Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali
- Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara
- RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini
- Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi
- Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi
- Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne