Category: Siasa
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
Mchele wakosa soko Same
Wakulima wa mpunga wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wameeleza kushangazwa na uamuzi wa Serikali kuruhusu uagizaji wa mchele kutoka nje ya nchi, wakati wao wamekosa wanunuzi wa tani 15,000 za bidhaa hiyo hapa nchini.
Ridhiwani Kikwete atoa ya moyoni
Wiki iliyopita gazeti hili lilichapisha sehemu ya kwanza ya mahojiano kati ya Ridhiwani Kikwete (pichani) na JAMHURI. Leo tunakulete sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano hayo.
JAMHURI: Mitandao ya kijamii unaisoma? Unajisikiaje wewe na Mheshimiwa Kikwete mnavyoshambuliwa?
RIDHIWANI: Hivi vitu kwanza tumshukuru Mungu kwa sababu Mungu amewapa watu nafasi ya kusema. Mitandao hii inatoa nafasi ya kuwafanya watu watoe yaliyomo moyoni mwao. Taarifa iliyosomwa na Waziri Mkuu mwaka 2007 ilionesha CCM ilikuwa imefanikiwa kutekeleza asilimia 98 ya Ilani ya Uchaguzi. Kufikia mwaka 2009 ikawa imetekelezwa kwa asilimia 100.
- Marekani yamwekea vikwazo Kabila
- Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita
- Tanzania, Japan kufungua milango mipya ya uwekezaji sekta ya nishati
- Vijana kujengewa uwezo mabadiliko ya tabianchi
- Rais mstaafu Dk Kikwete ampongeza Mtanzania Ngasuma Eva Kanyeka aliyeng’ara Chuo Kikuu cha Harvard Marekani
Habari mpya
- Marekani yamwekea vikwazo Kabila
- Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita
- Tanzania, Japan kufungua milango mipya ya uwekezaji sekta ya nishati
- Vijana kujengewa uwezo mabadiliko ya tabianchi
- Rais mstaafu Dk Kikwete ampongeza Mtanzania Ngasuma Eva Kanyeka aliyeng’ara Chuo Kikuu cha Harvard Marekani
- Serikali yachukua hatua dhidi ya utapeli mtandaoni, laini 62,879 zafunguwa – Kairuki
- Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi
- PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi
- Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu
- Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
- RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
- Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
- Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
- Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika
Copyright 2025