Category: Siasa
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
Mchele wakosa soko Same
Wakulima wa mpunga wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wameeleza kushangazwa na uamuzi wa Serikali kuruhusu uagizaji wa mchele kutoka nje ya nchi, wakati wao wamekosa wanunuzi wa tani 15,000 za bidhaa hiyo hapa nchini.
Ridhiwani Kikwete atoa ya moyoni
Wiki iliyopita gazeti hili lilichapisha sehemu ya kwanza ya mahojiano kati ya Ridhiwani Kikwete (pichani) na JAMHURI. Leo tunakulete sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano hayo.
JAMHURI: Mitandao ya kijamii unaisoma? Unajisikiaje wewe na Mheshimiwa Kikwete mnavyoshambuliwa?
RIDHIWANI: Hivi vitu kwanza tumshukuru Mungu kwa sababu Mungu amewapa watu nafasi ya kusema. Mitandao hii inatoa nafasi ya kuwafanya watu watoe yaliyomo moyoni mwao. Taarifa iliyosomwa na Waziri Mkuu mwaka 2007 ilionesha CCM ilikuwa imefanikiwa kutekeleza asilimia 98 ya Ilani ya Uchaguzi. Kufikia mwaka 2009 ikawa imetekelezwa kwa asilimia 100.
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
- Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
Habari mpya
- Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
- St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
- Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
- Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
- Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
- Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji
- Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
- Shujaa wa vita ya Kagera afungua sanduku la historia, atoa somo kwa kizazi cha sasa
- Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali
- Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara
- RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini
- Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi
- Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi
- Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne
- Makamu wa Rais afungua mkutano wa 15 wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu
Copyright 2025