Category: Siasa
ACT Mabale yaahidi bima ya afya kwa wazee na wajane
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Mgombea udiwani kupitia tiketi ya ACT WAZALENDO kata Mabale jimbo la Misenyi mkoani Kagera Mhandisi Sweetberty Kaizilege Jonh amewaahidi bima ya afya kundi la wazee na wajane ili kuwasadia kupata matibabu bure. Mgombea Sweetberty ameyabainisha…
Makonda : Tafakari kwanza kabla ya kupiga kura Oktoba 29
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema kuwa wakati wa kupiga kura Oktoba 29, wananchi wanapaswa kutafakari mambo yaliyoko katika maeneo yao na kuchagua chama chenye uwezo wa kuyatekeleza kwa mujibu wa…
ACT -Wazalendo Zanzibar yazindua ilani, yataja sera nne zitakazoinusuru Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo ,Othman Masoud Othamn amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 -2030 huku akihaidi kurejesha imani kwa Wazanzibar kwa kuweka mbele…
Katibu Chadema Mwanza ajiunga CCM
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mwanza, Boniphace Mkoaba ameamua kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkoba amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose Migiro mbele ya mgombea urais wa…
Samia alivyongarisha miradi yakimkakati Mwanza, mazuri yanakuja
Na Kulwa Karedia-Jamhuri Media-Mwanza MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Mwanza umepata Sh trilioni 5.6 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo. Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja…





