JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

Dhahabu, almasi nchini zaongezeka thamani

Thamani ya dhahabu na almasi zilizozalishwa nchini mwaka jana na kampuni kubwa zinazochimba madini hayo nchini iliongezeka kwa dola milioni 55.5 za Marekani ukilinganisha na kiasi kilichopatikana mwaka 2018. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…

IMF, AfDB wakosoa sera za uchumi Zimbabwe

Taasisi mbili kubwa za fedha duniani zimepinga sera ambazo Zimbabwe imeamua kuzitumia kufufua uchumi wake. Taasisi hizo, Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesema Zimbabwe inahitaji kufanya mambo mengine mengi zaidi ya sera hizo iwapo…

Tanzania bado yasuasua matumizi ya 4G

Wakati dunia ikiingia kwenye teknolojia mpya ya 5G katika intaneti ambayo tayari imeshafanyiwa majaribio kwenye baadhi ya nchi, Tanzania bado inasusua kwenye matumizi ya teknolojia ya nyuma yake ya 4G na kusambaza mitandao inayowezeshwa na masafa hayo yaliyoanza kutumika mwaka…

Uchumi unakua kwa kasi – Benki Kuu

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema uchumi wa nchi unaendelea kukua kwa kasi pamoja na kuwapo changamoto zinazotokana na kudorora kwa hali ya uchumi wa dunia ambazo zimesababisha kuyumba kwa biashara na uwekezaji duniani. Katika toleo la hivi karibuni la…

Mapato yasaidia kudhibiti deni la ndani la Serikali

Deni la serikali la ndani lilipungua kwa mara ya kwanza mwaka jana katika kipindi cha miaka kumi kutokana na kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya ndani ambayo hivi sasa yamefikia Sh trilioni 1.6 kwa mwezi, JAMHURI limebaini. Takwimu mpya za…

Akiba ya chakula nchini yaporomoka

Shehena ya nafaka zinazohifadhiwa kwenye maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) imepungua sana miaka ya hivi karibuni na kwa karibu miaka minne mfululizo imekuwa chini ya tani 100,000, JAMHURI limebaini. Takwimu za hivi karibuni za taasisi…