Category: Biashara
Tanzania yang’ara vita dhidi ya rushwa
Tanzania imetajwa kama nchi ya mfano katika mapambano dhidi ya rushwa katika eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ripoti ya kiwango cha rushwa kwa mwaka 2020 iliyotolewa hivi karibuni na Transparency International imebainisha kuwa katika kipindi cha miaka…
Serikali yajipanga kuboresha sekta ya uvuvi
Serikali imepanga kutumia zaidi ya Sh bilioni 92 mwaka ujao wa fedha kuimarisha sekta ya uvuvi nchini ili kuhakikisha fursa zinazopatikana kwenye sekta hiyo zinachangia kikamilifu maendeleo ya nchi. Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Mipango, kiasi kikubwa cha…
Soko la Bidhaa lawanufaisha wakulima
Na Mwandishi Wetu Wakulima nchini wameanza kunufaika na kuwepo kwa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) ambalo lipo mahususi kusaidia masoko ya mazao yanapatikana kwa wakati sahihi na mauzo yanafanyika kwa ushindani stahiki. Na katika kuhakikisha kuwa faida za soko hilo…
Wanawake wajasiriamali wawezeshwa 7bn/-
Na Mwandishi Wetu Wanawake wajasiriamali zaidi ya 28,000 wamewezeshwa na serikali kupata mikopo yenye masharti nafuu kama sehemu ya kupambana na umaskini nchini na kuwashirikisha wananchi kikamilifu katika ujenzi wa taifa. Wizara ya Fedha na Mipango ilisema wiki iliyopita kuwa…
Bei mazao ya chakula yapanda
Bei za jumla za mazao mengi ya chakula zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Januari mwaka huu ikilinganishwa na mwezi uliotangulia kutokana na kuongezeka kwa mahitaji yake kwenye baadhi ya nchi jirani, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema. Kuongezeka kwa bei…
Wajasiriamali ‘waliteka’ jiji
Vitambulisho vya wajasiriamali vilivyotolewa na Rais Dk. John Magufuli mwaka jana vimeyageuza maeneo mengi katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuwa masoko yasiyo rasmi, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na kuthibitishwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya…




