Category: Biashara
Serikali, wananchi wahimizwa kuwajibika
Shirika la Forum Syd Tanzania limeihimiza Serikali kuhakikisha inatimiza wajibu wake kwa kuwahudumia wananchi ipasavyo, na ameitaka na jamii yenyewe kuhakikisha inawajibika ili kuweza kukabili changamoto za umaskini wa kipato.
‘Tumieni vyakula asilia’
Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kutumia vyakula asilia, vikiwamo mbogamboga na matunda kupunguza kemikali, kutibu magonjwa na kusafisha damu mwilini.
Wanawake waelimishwa
Imeelezwa kwamba tatizo la wanawake wasiojua haki zao za mirathi limepungua kwa asilimia 50 kufikia mwaka huu.
Wakataa maji wakidai hawakushirikishwa
Wakazi wa Kitongoji cha Mkulila, Kijiji cha Wambishe wilayani Mbeya, wamekataa mradi wa umwagiliaji maji waliopelekewa na Serikali, wakidai hawakushirikishwa katika uanzishwaji wake.
Kasi yetu ya kuchimba dhahabu inatisha, idhibitiwe
Mikataba ya kuchimba dhahabu hapa nchini ilianza kusainiwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Mzee Benjamin William Mkapa.
Mgiriki aiweka ‘Serikali’ mfukoni
*Aingia Selous kuua wanyamapori
Raia wa Ugiriki, Pano Calavrias, aliyeghushi uraia wa Tanzania na kisha kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, mwaka 2010 kwa kosa la kukutwa na hati ya kusafiria ya Tanzania kinyume cha sheria, yupo nchini akiendelea na uwindaji wa kitalii.