Balozi Finland: Misitu inaweza kuiinua Tanzania
Misitu ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa Watanzania ikiwa itatumiwa vizuri, amesema Balozi wa Finland hapa nchini, Sinikka Antila.
Misitu ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa Watanzania ikiwa itatumiwa vizuri, amesema Balozi wa Finland hapa nchini, Sinikka Antila.
Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) unakabiliwa na tuhuma za kukilipa kiwanda cha pamba kilichofilisika, Sh milioni 826 bila maelezo ya kuridhisha.
Kampuni ya Taifa ya Uwekezaji (NICOL), imemsafisha mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP, Reginald Mengi kuhusu tuhuma za kuidhoofisha kampuni hiyo.
Wizara ya Maliasili na Utalii imewatia mbaroni watuhumiwa wa ujangili katika Kijiji cha Mkata, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro.
Watanzania wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja, au kulipa faini ya Sh 5,000,000 kila mmoja baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la usafirishaji binadamu. Pamoja na adhabu hiyo, gari lililotumika kwenye biashara hiyo haramu limetaifishwa na litapigwa mnada.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechachamaa na kuanzisha operesheni kabambe inayoambatana na kuwasweka lupango wateja wake wanaoiba umeme.