JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

Mwekezaji wa Kapunga Mbeya shakani

Uhusiano kati ya Mwekezaji wa Shamba la Kapunga (Kapunga Rice Company) lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani hapa na wananchi umezidi kufifia kutokana na matukio yanayozidi kumwandama.

TPB yatenga mil 6/- kutunza mazingira

Katika juhudi za kuisaidia Serikali kukabili mabadiliko ya tabianchi, Benki ya Posta Tanzania (TPB) imetenga Sh milioni sita kugharamia upandaji miti mkoani Mwanza.

Balozi Finland: Misitu inaweza kuiinua Tanzania

Misitu ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa Watanzania ikiwa itatumiwa vizuri, amesema Balozi wa Finland hapa nchini, Sinikka Antila.

Milioni 826/- zayeuka Shirika la Bima Taifa

Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) unakabiliwa na tuhuma za kukilipa kiwanda cha pamba kilichofilisika, Sh milioni 826 bila maelezo ya kuridhisha.

NICOL yamsafisha Mengi

Kampuni ya Taifa ya Uwekezaji (NICOL), imemsafisha mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP, Reginald Mengi kuhusu tuhuma za kuidhoofisha kampuni hiyo.

JAMHURI yafanikisha kukamatwa ‘majangili’

Wizara ya Maliasili na Utalii imewatia mbaroni watuhumiwa wa ujangili katika Kijiji cha Mkata, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro.