Category: Biashara
Mgodi wahatarisha afya za watu
Mamia ya wananchi wanaoishi jirani na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara (NMGM) unaomilikiwa na African Barrick Gold (ABG), wako katika hatari ya kuugua saratani ya mapafu, damu na kuwa viziwi.
CAG akwazwa na sheria
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ametoboa siri kwamba utendaji kazi wa ofisi yake umekuwa ukikwazwa na sheria za nchi.
Mwekezaji wa Kapunga Mbeya shakani
Uhusiano kati ya Mwekezaji wa Shamba la Kapunga (Kapunga Rice Company) lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani hapa na wananchi umezidi kufifia kutokana na matukio yanayozidi kumwandama.
TPB yatenga mil 6/- kutunza mazingira
Katika juhudi za kuisaidia Serikali kukabili mabadiliko ya tabianchi, Benki ya Posta Tanzania (TPB) imetenga Sh milioni sita kugharamia upandaji miti mkoani Mwanza.
Balozi Finland: Misitu inaweza kuiinua Tanzania
Misitu ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi wa Watanzania ikiwa itatumiwa vizuri, amesema Balozi wa Finland hapa nchini, Sinikka Antila.
Milioni 826/- zayeuka Shirika la Bima Taifa
Uongozi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) unakabiliwa na tuhuma za kukilipa kiwanda cha pamba kilichofilisika, Sh milioni 826 bila maelezo ya kuridhisha.