Category: Kitaifa
UDA-RT sikio la kufa
DAR ES SALAAM Na Waandishi Wetu Kinachoendelea ndani ya taasisi zinazohusika na Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam ni giza nene licha ya maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kutaka mabadiliko ya haraka ya mfumo wa…
Uchambuzi wa Bajeti Kuu kwa jicho la uwajibikaji
DAR ES SALAAM Na Ludovick Utouh UTANGULIZI: Juni 10, 2021, Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, aliwasilisha makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22. Hii ni Bajeti ya kwanza chini ya Mpango wa…
‘Madalali’ Dar wawaliza wafanyabiashara Kariakoo
*Wapora mamilioni ya fedha wakijidai madalali wa mahakama *Wafanyabiashara waomba msaada Msimbazi, wanyimwa Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Baadhi ya wafanyabiashara wa Gerezani, Kariakoo, wamelalamika kuvamiwa na watu wanaojitambulisha kama madalali wa mahakama na kuwapora mali bila sababu za…
Furaha yatawala Soko la Chifu Kingalu
DAR ES SALAAM Na ALEX KAZENGA Vicheko na furaha vimetawala kwa wafanyabiashara wadogo wenye vibanda (vioski) katika Soko la Chifu Kingalu lililopo Manispaa ya Morogoro, baada ya kodi yao kupunguzwa. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Martine Shigella, ametangaza hayo hivi…
Askofu atimuliwa na sadaka yake
MBINGA Na Mwandishi Wetu Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini (DKU), Dk. George Fihavango, pamoja na ujumbe wake wamefukuzwa na kukataliwa kuingia nyumbani kwa mmoja wa waumini wa kanisa hilo, Leonard Myalle; JAMHURI limeshuhudia….
Anaswa kwa wizi wa vitendanishi
TABORA Na Benny Kingson Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imemkamata mtumishi wa Kituo cha Afya wilayani Kaliua, Maila Mdemi, kwa tuhuma ya wizi wa vitendanishi. Maila ni mmiliki wa Duka la Dawa la Nansimo ambalo…