JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Dunia yazizima

Wakati dunia ikizizima kutokana na kusambaa kwa ugonjwa wa corona, kamati za maafa katika mikoa mbalimbali nchini zimekuwa katika kipindi cha tahadhari zikisimamia kanuni na maelekezo yanayotolewa na Serikali Kuu za kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo. Hadi tunakwenda mitamboni, ni…

Serikali yajipanga kuboresha sekta ya uvuvi

Serikali imepanga kutumia zaidi ya Sh bilioni 92 mwaka ujao wa fedha kuimarisha sekta ya uvuvi nchini ili kuhakikisha fursa zinazopatikana kwenye sekta hiyo zinachangia kikamilifu maendeleo ya nchi.  Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha na Mipango, kiasi kikubwa cha…

Kigoma sasa yafunguka

Ndoto ya kuunganisha kwa lami Tanzania, Burundi, DRC kupitia ‘central corridor’ yaiva Mtandao wa barabara kuu na barabara za mikoa nchini Tanzania unaosimamiwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) una jumla ya kilomita 36,258…

CORONA

Kwamba ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona upo nchini; hii inafahamika kwa watu wengi kwa sasa, lakini kubwa linalosisitizwa na wataalamu ni kuwa ugonjwa huu si sawa na mafua ya kawaida kama wengine wanavyodai. Utafiti unaonyesha kuwa virusi…

CORONA

Ukweli dhidi ya uzushi Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa corona miezi kadhaa iliyopita, kumekuwa na taarifa nyingi zinazotolewa kupitia vyanzo mbalimbali. Lakini baadhi ya taarifa hizo hazina ukweli kuhusiana na ugonjwa huo. Zipo taarifa nyingine ambazo ni za uzushi ingawa…

CORONA

Vita sasa ni kusaka chanjo Miezi mitatu baada ya virusi vya corona kuibuka nchini China na kusambaa duniani kote, wanasayansi hivi sasa wamejikita katika kutafuta chanjo ya ugonjwa huo. Tayari majaribio ya chanjo hiyo kwa binadamu yameanza wiki iliyopita katika…