JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kuzimwa simu kuathiri biashara ya pesa mtandaoni

Ukiondoa mawasiliano ya kawaida, eneo jingine kubwa litakaloathirika sana kutokana na zoezi la kuzima laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole litakapokamilika ni biashara ya pesa mtandaoni, ambayo thamani yake ilikuwa imefika zaidi ya Sh trilioni nane kwa…

Songas kuwekeza Sh bilioni 138 zaidi nchini

Kampuni ya kuchakata gesi asilia na kuzalisha umeme ya Songas inapanga kuongeza kiasi cha umeme inachozalisha nchini kwa asilimia 33 ili kuliwezesha taifa kuwa na nishati ya kutosha kwa ajili ya shughuli za kiuchumi, mkurugenzi mtendaji wake amesema. Kwa mujibu…

CAG amchunguza Dk. Kigwangalla

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeguswa na matumizi mabaya ya fedha za umma yanayodaiwa kufanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, na kuna taarifa za uhakika kuwa imeanza kumchunguza. Pamoja na…

Mjue CDF Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri

Januari 4, 2020 Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri, alikuwa na hafla ya kutimiza umri wa miaka 100. Mamia ya watu walihudhuria sherehe hizo zilizofanyika nyumbani kwake Butiama mkoani Mara. Ufuatao ni wasifu mfupi wa Jenerali Musuguri uliosomwa siku ya kumbukizi…

Wafanyabiashara ‘wapewa’ kazi za Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza ‘limebinafsisha’ baadhi ya shughuli zake kwa taasisi binafsi kwa madai ya kukosa vitendea kazi sahihi. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI na kuthibitishwa na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, Sophia Jongo, umebaini kuwa kazi…

Diwani aghushi hati ya kiwanja, alamba mkopo milioni 3.3/-

Diwani wa Viti Maalumu (Chadema), Jasimin Meena, anatuhumiwa kughushi nyaraka zilizomwezesha kujipatia mkopo wa Sh milioni 3.3 kutoka taasisi moja ya fedha ijulikanayo kwa jina la Heritage Financing, Tawi la Moshi. Kwa mujibu wa nyaraka ambazo JAMHURI linazo, diwani huyo…