JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wanawake wajasiriamali kunolewa Dar

Kongamano kubwa litakalowawezesha wanawake kuunda mtandao wa wajasiriamali kutoka maeneo yote nchini litafanyika mapema mwezi ujao. Waandaaji wa kongamano hilo, Open Kitchen chini ya asasi ya Amka Twende, wameeleza kuwa zaidi ya wajasiriamali 300 wanawake kutoka vikundi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki…

Kiingereza chapigiwa debe

Imeelezwa kuwa msingi mzuri wa lugha ya Kiingereza kwa watoto wanaosoma shule za awali zinazotumia lugha hiyo ni moja ya sababu za wanafunzi wengi wanaotoka katika shule hizo kufanya vema zaidi kitaaluma kwenye madarasa ya juu. Wakizungumza mjini hapa, baadhi…

Serikali yaiangukia Benki ya Dunia

Serikali imeiomba Benki ya Dunia kusaidia rasilimali fedha ili kuwezesha utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa na serikali. Ombi hilo limetolewa hivi karibuni jijini New York nchini Marekani na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, alipokutana na…

Miaka minne ya kazi

Aliposhika Biblia na kuapa kuwa Rais wa tano wa Tanzania Novemba, mwaka 2015, Dk. John Magufuli, aliahidi kuleta mabadiliko makubwa kiuchumi na kijamii. Aliahidi kuipeleka Tanzania kwenye kipato cha kati kupitia uchumi wa viwanda. Alipolihutubia Bunge baadaye mwaka huo, akajipa kazi…

Mabilioni kuboresha miundombinu Ziwa Victoria

Serikali imewekeza zaidi ya Sh bilioni 300 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya usafiri ndani ya Ziwa Victoria, Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abbas, amebainisha. Kati ya fedha hizo, Sh bilioni 150 zinatumika kwa ajili ya ujenzi wa meli…

Makonda aungwa mkono

Taasisi na watu binafsi wameendelea kuunga mkono jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kuwasaidia watoto wenye matatizo ya ugonjwa wa moyo. Wiki iliyopita Ubalozi wa nchi za Falme za Kiarabu (UAE) ulitoa Sh milioni 27…