Category: Kitaifa
Wenje: Dk Silaa alitaka CHADEMA ifutwe
Na Isri Mohamed, JammhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Ezekia Wenje ameonesha kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Godbless Lema akimtaka Lissu kumteua Dkt Silaa kuwa mjumbe wa kamati kuu wa Chadema, mara tu atakaposhinda…
CCM yataja sababu nne zilizofanya washinde kwa kishindo Serikali za Mitaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetoa sababu nne ambazo zimefanya Watanzania kuendelea kukiamini na kuchagua wagombea wa Chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na miongoni mwasababu ambazo zimefanya washindi ni uwepo wa migogoro…
Zitto : Wasimamizi wa uchaguzi Kigoma msikubali kulaghaiwa kugeuza matokeo
Kiongozi Mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewataka wasimamizi wa uchaguzi kutoingizwa kwenye mtego wa kuwatangaza washindi wagombea wa CCM hata kama watashindwa katika sanduku la kura la uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika siku ya Jumatano Novemba…
Zitto awataka Kigoma kupiga kura ya hapana pale CCM wanapobaki pekee
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewataka wananchi kupiga kura za hapana katika mitaa ambayo wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamebakizwa pekee baada ya vyama vya upinzani kuenguliwa. Zitto ametoa wito huo siku ya Jumanne Novemba…
Himahima tujitokeze kwa wingi kupiga kura – Kapinga
📌 Afunga kwa kishindo Kampeni za CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mbinga 📌 Asema CCM ni tumaini la Watanzania; Ipate kura za Ndiyo 📌 Akumbusha kuwa miradi ya maendeleo iliyopo ni kielelezo cha viongozi makini wa CCM Mbunge wa…