Category: Kitaifa
Bashiru awataka Tabora kulinda historia ya CCM
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kutunza vema historia yaChama hicho. Amesema mkoa huo una historia ya kipekeee kwani mwaka 1958 chama hicho kulifanya…
Twendeni tukampe kura za heshima Samia-Nkumba
Na Mwandishi, JamhuriMedia, Tabora Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, Said Nkumba, amesema mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa kwa kupeleka sh trilioni 6.42 katika kuchagiza maendeleo mkoani humo. Amesema fedha hizo imegharamia miradi mbalimbali…
Viongozi CCM tuhimize wananchi kupiga kura – Dk Biteko
Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi Vitongoji, Vijiji na Kata kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba 10,…
Dk Nchimbi atumia helkopta kusaka kura Kagera
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, leo Septemba 7, 2025, ameruka kwa helikopta akizisaka kura za kishindo za CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Balozi…




