Category: Kitaifa
Mbio za kukinadi Chama cha Mapinduzi Geita zaanza kwa kishindo
📌 Majimbo 7 kati ya 9 yapita bila kupingwa 📌 Kata 92 kati ya 122 zapita bila kupingwa 📌 Maelfu wakusanyika kusikiliza Ilani ya CCM 2025-2030 📌 Dkt. Biteko awasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Dkt. Samia Suluhu Hassan…
NMB kuchochea maendelea sekta ya utalii Arusha
Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara wakubwa mkoani Arusha ushirikiano wa karibu zaidi katika kukuza shughuli zao, hususan sekta ya utalii, ili kuongeza ufanisi wa kibiashara, mapato na mchango wa taifa katika uchumi wa dunia. Akizungumza kwenye hafla ya chakula cha…
Mbeto atabiri anguko la Othman Uchaguzi wa Urais Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kumemtaja Mgombea Urais wa ACT Wazalendo , Othman Masoud Othman, atashindwa vibaya katika kinyang’anyiro cha Urais kutokana na uwezo wake kuwa mdogo mbele ya mgombea CCM Rais Dk Hussein Ali Mwinyi . Pia…
Nchimbi awanadi wagombea Jimbo la Tarime
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Jumapili Agosti 31 ,2025 ameendelea na kampeni zake kwa kufanya mkutano mkubwa katika mji wa Nyamongo, jimbo la Tarime vijijini mkoani Mara. Balozi…





