JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mgombea Jimbo la Mafinga kwa tiketi ya CHAUMMA aahidi kuongeza ajira

Mgombea ubunge wa Jimbo la Mafinga Mji kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Ngwada Mubarak Twaha, ameamua kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho ili kupambana na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira, hususan kwa vijana wenye shahada za vyuo vikuu ambao…

Samia arejesha fomu ya urais, CCM yatia nia kwa mara nyingine kuipeleka Tanzania juu zaidi

Na Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika hali ya hewa nzuri ya Jiji la Dodoma, asubuhi ya Agosti 27, 2027, historia imeandikwa tena pale Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipowasili katika Ofisi za Tume Huru ya…

Nchimbi amkabidhi ofisi Dk Migiro, aahidi kuendeleza uimara

Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ameishukuru Kamati Kuu ya chama hicho kwa heshima ya kumteua kushika nafasi hiyo, akiahidi kushirikiana na viongozi wenzake kuendeleza uimara wa chama hicho kikongwe nchini. ‎Akizungumza Agosti 26,2025 katika…

ACT Wazalendo kuzindua kampeni Agosti 30

Chama cha ACT Wazalendo kinatarajia kizindua kampeni zake za mgombea Urais Jijini Mwanza Agosti 30 katika Viwanja vya Furahisha

Geofrey Timothy achukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Geofrey Timothy, amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Kawe kwa ari na moyo wa kujituma. Akizungumza leo…