Category: Kitaifa
Bomu la Airtel, Vigogo Hawa Wamekalia Kuti Kavu
Moto aliouwasha Rais John Magufuli wiki iliyopita kwa kutaka ufanyike uchunguzi wa kina juu ya umiliki halisi wa kampuni ya Airtel umegeuka bomu linaloelekea kuwalipukia vigogo wanaoheshimika kwa kiasi kikubwa hapa nchini, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Tayari Taasisi ya Kuzuia…
SERIKALI YAFAFANUA KUHUSU CHANELI ZA BURE PINDI WANANCHI WANAPOISHIA NA VIFURUSHI
Kutokana na malalamiko ya mara kwa mara kwa wananchi kuhusu kukosa huduma ya runinga za bure pindi vifurushi katika visimbusi (ving’amuzi) vyao vinapomalizika, serikali imetolea ufafanuzi suala hilo kwa kueleza namna mfumo wa utendaji unavyotakiwa kufanya kazi. Akijibu maswali ya…
ASANTE MUNGU, SASA TUNDU LISSU AFANYA MAZOEZI YA KUTEMBEA
HALI ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na ameanza rasmi kufanya mazoezi ya viungo katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya ambako anapatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Area D, mjini Dodoma…
KAMA UMEGUSWA NA MTOTO HUYU MSAIDIE NA YEYE AENDE SHULE
Mtoto Msafiri Hassan ana umri wa miaka 12 mkazi wa Kitongoji cha Sanda Mkobani, Tarafa ya Mchinga, Lindi Vijijini ni mlemavu, hawezi kutembea hivyo anawaomba msaada wa kununuliwa kiti cha magurudumu ili aweze kwenda shule kama watoto wengine. Kama umeguswa…
PIGO: CHADEMA YAZIDI KUANGAMIA
Kwa lugha nyingine tunaweza kusema CHADEMA inazidi kuangamia kutokana na kinachoendelea ndani ya chama hicho kuondokewa na viongozi pamoja na wanachama wake kutimkia chama tawala CCM. Leo aliyekuwa M/kiti wa CHADEMA Wilaya Ngorongoro, Samweli Ole Nakumbale, aliyekuwa mgombea ubunge wa…
Hivi Ndio Viwango Vya Makato ya Kodi ya Mishahara ya Waajiriwa
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imefafanua kuhusu viwango vya kodi, anavyopaswa kukatwa mtu binafsi aliyeajiriwa. Akizungumza kwenye kipindi cha Kodi kwa Maendeleo kinachorushwa na Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) wiki hii, Meneja wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa…