Category: Kitaifa
MAJALIWA: Tutawashughulikia Wote Wanaotumia Vibaya Fedha Za Ukimwi
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitawavumilia watu wote wanaotumia vibaya fedha za umma ambazo zinapaswa kuleta maendeleo kwa wananchi, zikiwemo na za Mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti Ukimwi. Amesema mfuko huo unalenga kufanikisha ukusanyaji wa fedha za kutosha amabazo ni…
Waziri Mkuu Apokea Vifaa Vya Mashindano Ya Majimbo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kwa ajili ya kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa majimbo ya mkoa wa Dar es Salaam. Vifaa hivyo vimetolewa na Muwakilishi wa Jimbo…
Wananchi Wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki Kuingia Kenya Kwa Kitambulisho Cha Taifa Tu
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza neema kwa wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kuruhusu kuingia nchini humo kwa kutumia kitambulisho cha taifa tu na kupewa haki zingine kama raia wa Kenya. Taarifa hiyo imetolewa leo na Rais Uhuru Kenyatta alipokuwa…
Samia Suluhu Amwakilisha Rais Magufuli Kenya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta Mjini Nairobi nchini Kenya ambako anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe za…
Magufuli awanyoosha
*Sasa aanza kutumbua mawakala wa ushuru *MaxMalipo na wenzake awapeperushia njiwa NA MICHAEL SARUNGI Baada ya kuwanyoosha watumishi wa umma wa Serikali Kuu, Rais John Magufuli sasa ameingia kwenye “ushoroba” wa wazabuni, ambao wamekuwa wakipata malipo yasiyolinga na…
TCU itulie, isichezee elimu
Na Mwandishi Maalum, Arusha Kwa wiki yote iliyopita habari iliyogusa wengi katika sekta ya elimu ni ile iliyohusu kuzuiwa kwa vyuo 19 vinavyotoa elimu ya juu (vyuo vikuu) na baadhi ya vyuo kuzuiliwa kudahili wanafunzi katika baadhi ya kozi…