JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wastaafu walia na Swissport

Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATC), Kampuni ya mizigo Dahaco na baadaye Swissport Tanzania, wamelalamikia uongozi wa kampuni hiyo kwa kushindwa kuwalipa waliokuwa wafanyakazi wake 109, zaidi ya Sh bilioni 15 ikiwa ni malimbikizo ya mishahara na stahiki…

Wauza unga hawa

Waagizaji na wauza dawa za kulevya hapa nchini, wanaendelea kusakwa, kukamatwa na kufungwa kimya kimya, lengo likiwa ni kunusuru kizazi cha Watanzania kinachoangamia kutokana na mihadarati. Taarifa za ndani ambazo JAMHURI limezipata, zinaonesha kwamba walau asilimia 60 ya waagizaji na…

Yaliyomkuta Mjane yamkuta mwekezaji

Wakati Rais John Pombe Magufuli ameingilia kati mgogoro wa umiliki wa ardhi kwa mjane kutoka Tanga, Swabaha Mohamed Shosi, uchunguzi wa JAMHURI umebaini kuwa jijini Dar es Salaam watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wamepandikiza hati…

Meneja Bandari afukuzwa

Aliyekuwa Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Hebel Mhanga, amefukuzwa kazi baada ya kupatikana na hatia ya kuingiza vibarua hewa kazini. Mwaka uliopita, Gazeti la JAMHURI limechapisha kwa kina ufisadi uliokuwa unaendelea pale bandarini, ambapo ukiacha wizi wa…

Gama kitanzini

Mbunge wa Songea Mjini (CCM), Leonidas Gama atafikishwa mahakamani wakati wowote kutokana na ufisadi, JAMHURI linathibitisha. Uchunguzi uliofanywa na gazeti la JAMHURI umebaini kuwa Gama, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atapandishwa kizimbani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya…

JAMHURI lawezesha upatikanaji madawati

Hivi karibuni gazeti hili liliandika shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu zinavyoathiri taaluma kwa ya wanafunzi wa Shule za Msingi Ikandilo iliyopo katika Kijiji cha Ikandilo, Kata ya Nyaruyeye, wilayani Geita na kusababisha baadhi ya wanafunzi kutokuhudhuria masomo ipasavyo….