JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Meneja MPRU awa Mungu mtu

Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU), Dk. Milali Machumu, amelalamikiwa na watumishi wa taasisi hiyo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma, ubabe na ubaguzi kwa watumishi, mambo  yanayochangia sekta ya utalii kudorora. Dk….

Mchungaji abaka, alawiti, atoroshwa

Mtendaji wa Kijiji cha Luchili, Kata ya Nyanzenda, Halmashauri ya Buchosa Sengerema, mkoani Mwanza anatuhumiwa kumtorosha Mchungaji wa Kanisa la Agape, lililopo katika kijiji hicho, Geofrey Kamuhanda, anayetuhumiwa kumbaka na kumlawiti binti wa miaka 13. Vyanzo vya habari vimeiambia JAMHURI…

Polisi, mbunge washiriki ‘wizi’

Mchezo wa wanasiasa kutumia kampuni za mfukoni kunyofoa rasilimali za umma bado unaendelea, baada ya JAMHURI kubaini kuwa mmoja wa wabunge wamejipatia zaidi ya Sh bilioni 40 kwa njia ya udanganyifu. Kibaya zaidi na bila woga, waliokabidhiwa dhamana ya kulinda…

Lukuvi, Kakoko kumaliza mgogoro ardhi Mtwara

Wiki moja baada ya gazeti hili kuchapisha makala kuhusu mgogoro wa ardhi kati ya Mamlaka ya Bandari ya Mtwara na wananchi wa Kitongoji cha Ng’wale, Mtwara Vijijini, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Deusdedith Kakoko, na Waziri…

Mvutano mpya Loliondo

Wakati Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro ikitoa ratiba ya mpangokazi wa Kamati Shirikishi ya Mapendekezo ya Kumaliza Mgogoro wa Pori Tengefu la Loliondo katika Wilaya ya Ngorongoro, mkakati mpya wa kukwamisha mpango huo umebainika. Mpango huo, uliotolewa na…

Faru John amtesa Prof. Maghembe

Wakati Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe, akiwatuhumu baadhi ya wadau wa sekta ya utalii kwamba wamejipanga kuhakikisha wanamng’oa katika wadhifa wake kupitia sakata la Faru John, wadau wamemtaka asiwe mfamaji. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Prof. Maghembe…