Category: Kitaifa
Kimenuka REA
Baadhi ya kampuni zilizoomba zabuni kwenye Awamu ya Tatu ya Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu II, zimeghushi nyaraka. Mradi huo wenye thamani inayokaribia Sh trilioni moja, unalenga kufikisha umeme wa gridi kwenye vijiji 3,559 katika mikoa 25 ya…
Asotea mafao PPF miaka 15
Stanslaus Mlungu (78), aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na kustaafu kazi Desemba 31, 1991 kutokana na matatizo ya kiafya, amelalamika kwamba ameibwa fedha zake za pensheni na watumishi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF mwaka 1992. Mlungu…
Waziri apiga ‘dili’
Wakala wa Nishati Vijijini (REA), analalamikiwa kutoa zabuni za mabilioni ya shilingi na mamilioni ya dola kwa kampuni kadhaa za ndani na nje ya nchi katika mazingira yanayotia shaka, JAMHURI limeambiwa. Miongoni mwa wanufaika ni mmoja wa mawaziri katika Serikali…
Wanatafutwa kwa mauaji
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, limebaini sehemu ya mtandao wa watuhumiwa wa mauaji 12 yanayoendelea wilayani Mkuranga, Kibiti na Rufiji, akiwamo mwanzilishi wa mauaji hayo, anayetajwa kwa jila la Abdurshakur Ngande Makeo. Akizungumzia hali ya kiusalama kutokana na vitendo…
Chozi la damu
Siku 10 baada ya kutokea ajali iliyokatisha ndoto za wanafunzi 32, walimu wawili na dereva wa Shule ya St. Lucky Vincent, JAMHURI limefanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali hiyo na kubaini mambo ya kutisha. Mmoja wa madereva wakongwe wa shule…
Wananchi wampinga mwekezaji
Kumeibuka mgogoro wa ardhi, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara kati ya uongozi wa wilaya hiyo na wakazi wa Kijiji cha Bisarwi, kudai kuwa wanataka kupokonywa mashamba yao na kupewa mwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kujenga kiwanda cha sukari….