Category: Kitaifa
Gama kitanzini
Mbunge wa Songea Mjini (CCM), Leonidas Gama atafikishwa mahakamani wakati wowote kutokana na ufisadi, JAMHURI linathibitisha. Uchunguzi uliofanywa na gazeti la JAMHURI umebaini kuwa Gama, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro atapandishwa kizimbani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya…
JAMHURI lawezesha upatikanaji madawati
Hivi karibuni gazeti hili liliandika shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu zinavyoathiri taaluma kwa ya wanafunzi wa Shule za Msingi Ikandilo iliyopo katika Kijiji cha Ikandilo, Kata ya Nyaruyeye, wilayani Geita na kusababisha baadhi ya wanafunzi kutokuhudhuria masomo ipasavyo….
Mjane aomba Rais Magufuli amsaidie
Mmoja wa wakurugenzi wastaafu wa idara iliyoshika moyo wa nchi (jina linahifadhiwa) ametajwa kushirikiana na baadhi ya Maofisa katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuandaa mpango wa kumpokonya kiwanja mkazi wa Ilala, jijini Dar es Salaam, Habiba…
Mwekezaji: Rais Magufuli nisaidie
Mwekezaji wa Kampuni ya Petrofuel Tanzania Limited, amemwomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia kati mgogoro wa kibiashara unaoipotezea Serikali mapato ya wastani wa Sh bilioni 4 kila mwezi kutokana na ubabe wa watu wachache, JAMHURI limeambiwa. Satish Kumar, ambaye ni…
Bilionea amjaribu Magufuli
Tajiri mwenye ukwasi wa kutisha anayeishi jijini Dar es Salaam, anaonekana kuwa wa kwanza kumjaribu Rais John Pombe Magufuli, aliyesema hajaribiwi, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Hali hii imetokana na tajiri huyo kuamua kulitumia Jeshi la Polisi kutekeleza matakwa yake, na…
RIVACU wamlilia Rais Magufuli
Hatima ya Chama cha Ushirika cha Wakulima wa eneo la Bonde la Ufa katika mikoa ya Manyara na Arusha (RIVACU) sasa iko mikononi mwa Rais John Magufuli, baada ya Baraza la Ardhi la Mkoa wa Manyara kuirudisha katika kiwanja cha…