JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Siri ya kukauka mizigo Bandari

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeshangazwa na kuwepo kwa mvutano wa chini kwa chini kati ya Mamlaka ya Bandari (TPA), Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) pamoja na wadau wengine. Kamati hiyo imekutana na wadau wa…

Biashara holela chuma chakavu janga kwa miundombinu

Biashara holela ya chuma chakavu inayofanyika bila vibali na leseni nchini, inapoteza mapato na kusababisha hasara kwa taasisi za umma ambazo miundombinu yake huibwa na wafanyabiashara hao. Tangu taarifa zitolewe kwa mamlaka zinazohusika ikiwamo Ofisi ya Rais na ile ya…

Trafigura yashinda zabuni ya mafuta

Kampuni ya Trafigura PTE Ltd imeshinda zabuni ya kuleta mafuta hapa nchini mwezi Oktoba, kampuni hiyo imeshinda zabuni hiyo baada ya kushiriki kwa miaka minne bila mafanikio. Zabuni hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 6,899,208, ilishindaniwa na makampuni…

Mabadiliko Bandari

Mkurugenzi Mkuu wa Bandari, Mhandisi Deusdedit Kakoko amefanya mageuzi makubwa katika Bandari ya Dar es Salaam, sasa magari yanaruhusiwa kutolewa kwa saa 24. Taarifa zilizolifikia JAMHURI zinasema Mhandisi Kakoko ametoa maelekezo mahususi kwa watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam…

Matapeli wa madini

Magenge ya matapeli kwenye biashara ya madini, yameibuka na kuendesha shughuli zake bila hofu. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwapo kwa matukio ya utapeli na kuifanya sifa ya Tanzania izidi kuchafuka mbele ya jumuiya ya kimataifa. Mwaka 2013, JAMHURI lilichapisha…

Serikali kufufua NASACO Bandari

Serikali inakusudia kufufua Shirika la Taifa la Uwakala wa Meli (NASACO), katika jitihada za kuboresha huduma katika Bandari ya Dar es Salaam kuhudumia wateja wake kwa ufanisi zaidi. Akizungumza na wahariri, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA),…