TEF yapata safu mpya ya uongozi
Mhariri Mtendaji wa Gazeti JAMHURI, Deodatus Balile, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Balile alichaguliwa katika nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika Jumamosi iliyopita mjini Morogoro. Katika uchaguzi huo uliojaa ushindani, Balile alipata kura 47 na kumshinda Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications Ltd, Bakari Machumu, aliyepata kura 17 kati ya kura…