JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Bunge hali tete

Tunashukuru Ofisi ya Bunge imeendelea kuwathibitishia Watanzania kuwa ina matatizo ya kiutendaji. Safari hii Mkurugenzi wa Ofisi ya Spika, Said Yakub, ambaye kimsingi si Msemaji wa Ofisi ya Bunge, amekiri kuwa kuna watoto wa vigogo, ingawa anadai taratibu zimefuatwa kuwaajiri….

Magufuli, Kagame moto

Uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda umeimarika kwa kiwango cha hali ya juu na sasa Rais wa Rwanda, Paul Kagame amekubaliana na Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Mafuli mizigo yote ya nchi hiyo ianze kupitia Bandari ya Dar es…

Mtanzania awa bosi Afrika

Mchumi kutoka Tanzania, Dk. Frannie Leautier ameteuliwa kuwa Makamu wa Rais Mwandamizi katika kundi la Benki ya Mendeleo ya Afrika (AfDB). Benki hiyo ilimtangaza rasmi mwezi Mei, mwaka huu. Dk. Frannie alikuwa  Mwenyekiti na mwanzilishi mwenza wa Mkopa Private Equity…

Bunge lafafanua tuhuma dhidi yake

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefafanua tuhuma dhidi yake zilizoibuliwa na Gazeti la JAMHURI hivi karibuni kuhusiana na ajira za upendeleo, matumizi mabaya ya ofisi, muundo mbovu, kuajiri watoto wa vigogo na nyingine. Mkurugenzi wa Ofisi ya Spika,…

Wakala wamkaidi Prof. Muhongo

Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency), umekumbwa na kashfa baada ya kutoichunguza kampuni ya msambazaji wa mafuta ya Sahara Energy Resources Limited ya Nigeria. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa kulikuwa na maelekezo ya kuchunguza chanzo…

Profesa Mwamila ang’oka Chuo cha Mandela

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Profesa Burton Mwamila, amejiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi, JAMHURI linaripoti. Kujizulu kwa Profesa Mwamila, kumekuja siku chache baada ya vyombo vya ukaguzi…