Category: Kitaifa
Meja Jenerali Milanzi apigilia msumari mgogoro wa kitalu
Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi, amesema msimamo wa Waziri wa wizara hiyo wa kurejesha kitalu cha uwindaji wa kitalii kwa kampuni ya Green Miles Safaris Limited, ni sahihi, umezingatia sheria na hauwezi kutenguliwa. Amesema…
Hoteli yamjaribu JPM
Hoteli ya kitalii ya Ramada iliyopo Mbezi Beach, Dar es Salaam imeajiri wageni wasio na vibali vya kufanya kazi husika nchini. Abdul Saleem Aboonhi Kollarathikkal, raia wa India mwenye hati ya kusafiria namba Z1873501 ameajiriwa katika Hoteli ya Ramada kama…
Mzungu ‘mchochezi’ afanya mbinu arudi Loliondo
Raia wa Sweden, Susanna Nordlund, anayejulikana kwa uchochezi katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo (LGCA), na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA), anatumia mbinu aruhusiwe kuingia nchini. Susanna alifukuzwa nchini kwa ‘kupigwa PI’, mwaka 2010 lakini tangu wakati huo…
Wafanyakazi wa meli wampa ukweli KM
Sasa ni dhahiri kuwa MSCL haifahamiki vizuri. Kwa mshangao mkubwa wafanyakazi wa MSCL tumeona taarifa ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano alipohojiwa na Gazeti la JAMHURI wiki iliyopita akasema kuwa hakuna mali za MSCL zilizohamishiwa TPA,…
Wingu zito
Watanzania wanaotegemea usafiri wa meli katika maziwa ya Victoria, Nyasa na Kigoma wako njia panda baada ya meli karibu zote zilizokuwa zinafanya kazi kuharibika. Ukiacha meli kuharibika, wafanyakazi wa Kampuni ya Marine Services Co. LTD (MSCL), inayoendesha huduma za usafiri…
Mahale kuboresha miundombinu
Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale itatumia kiasi cha Sh. bilioni 1.2 katika kuboresha miundombinu ya barabara, ili watalii waweze kuifikia hifadhi hiyo kwa urahisi kuliko hali ilivyo sasa. Akizungumza na JAMHURI, Kaimu Mhifadhi wa Hifadhi hiyo, Gadiel Moshi,…