JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

JamiiForums yawashitaki wasiotaka ufisadi uanikwe

Kampuni ya Jamii Media, inayoendesha mitandao ya JamiiForums.com na FikraPevu.com; hatimaye imeamua kutafuta haki mahakamani dhidi ya kile kinachoonekana kuwa ni matumizi mabaya ya Sheria ya Makosa ya Mtandao yanayolenga kudhoofisha vita dhidi ya ufisadi iliyotangazwa na Serikali ya Awamu…

January, Mwamvita wamjia juu Mzungu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano), January Makamba, ameibuka na kuzungumzia kwa undani kutohusika kwake na kashfa ya ‘udalali’ wa kutafuta wawekezaji wanaotafuta zabuni serikalini ikiwamo ya ujenzi wa Bandari mpya ya Bagamoyo. January amesema…

Madudu Usangu Logistics

Kampuni ya Usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi ya Usangu Logistics ya jijini Dar es Salaam imelalamikiwa kwa kuwanyanyasa wafanyakazi na kujihusisha na ukwepaji wa kodi kwa kutumia namba bandia za magari. Wafanyakazi wa kampuni hiyo, wanaodai kunyanyaswa…

Kwa Magufuli haponi mtu

Juzi Jumapili, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli alifanya mabadiliko ya ghafla kwa kumteua Balozi Mhandisi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Taarifa hizo zilithibitishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu, Gerson Msigwa. Kabla ya…

Miaka 92 ya Rais Mugabe na ndoto za kuwa bondia

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kwamba ana nguvu ambazo hata kama akipanda ulingo wa ndondi anaweza kumpiga mpinzani wake. Rais Mugabe, ambaye hivi karibuni alitimiza miaka 92, akiwa ni kiongozi pekee barani Afrika aliyekaa madarakani kwa muda mrefu, alikwishatoa…

TBL jipu

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) inayomiliki kampuni za Tanzania Distillers Limited (TDL), Tanzania Breweries Limited (TBL) na Darbrew Limited, yenye ubia na Kampuni ya SABmiller ya Afrika Kusini, inatumia udhaifu wa sheria nchini kukwepa kodi, uchunguzi wa Gazeti la…