Category: Kitaifa
Jaji Msuya azua maswali
Watuhumiwa wa kesi ya dawa za kulevya aina ya heroin, wanalalamikia kucheleweshwa kwa shauri dhidi yao wakidai linachukua muda mrefu tangu lilipoanza mwaka 2013. Watuhumiwa hao wanamlalamikia Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya wakihoji; “Sijui Mheshimiwa Jaji ana malengo gani…
Kamishna Minja wa Magereza matatani
Vyombo vya uchunguzi vya Serikali vimeanza kufuatilia ujenzi wa nyumba tano zinazojengwa sehemu moja huko Salasala, Dar es Salaam, mali ya Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Minja. Minja ametajwa kuendeleza eneo lake kwa kujenga mahekalu ya gharama…
Makontena 1,700 magari 900 yapotea
Makontena 1,762 na magari 919 yametolewa katika Bandari Kavu jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru na kodi mbalimbali, JAMHURI limebaini. Pamoja na upotevu huo, Serikali imepata hasara ya Sh milioni 914.136 ambazo hazikulipwa na meli za mafuta kwa miezi…
UKWEPAJI KODI: JK hachomoki
Kwa muda mrefu sasa, zimekuwapo taarifa kwamba familia hiyo ya Rais mstaafu imekuwa ikizibeba kampuni hizo, na moja inayotajwa ni ile ya Home Shopping Centre, iliyojitangaza mufilisi. Home Shopping Centre ilijitangaza kufilisika siku chache kabla ya Rais John Magufuli kuapishwa….
Said Bakhresa asalimu amri
Kampuni ya Said Salum Bakhresa imelipa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) dhamana ya Sh bilioni 4.2 kama sehemu ya kuwabana wafanyabiashara waliokwepa kulipa kodi ya makontena zaidi ya 300 yaliyopotea kwenye Bandari Kavu (ICD) ya Azam inayomilikiwa na bilionea…
Mfanyabiashara aichezea mahakama
Mfanyabiashara Lodrick Uronu, ameingia katika mgogoro wa kisheria akituhumiwa kuvunja nyumba iliyopo katika kiwanja Na. 23 Mtaa wa Sokoni, Manispaa ya Moshi bila kuwa na amri halali ya korti. Nyumba hiyo mali ya marehemu Mwanaisha Suleiman na Zubeda Suleiman, ipo…