JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Polisi wapozwa kwa posho nono

Baada ya kilio cha muda mrefu kuhusu kulipwa ujira unaoendana na mazingira magumu ya kazi zao, hatimaye Serikali imetimiza kile kilichokuwa kikipigiwa kelele na wabunge kuhusu kuwalipa askari polisi posho ya kujikimu, JAMHURI imebaini. Askari wa jeshi hilo, mwishoni wa…

Lowassa: Wanajisumbua

Mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, amesema hana muda wa kuwajibu wale wote wanaomsakama, lakini amejipambanua kuwa anataka kuwatumikia Watanzania kuanzia mwezi huu. Lowassa amesema kwa malengo hayo ya kutaka kuwatumikia Watanzania ambao kwa…

CCM imechoka, adai Kingunge

Mwanasiasa wa siku nyingi, Kingunge Ngombale-Mwiru, amekiacha “utupu” Chama Cha Mapinduzi (CCM), akidai kimegeuka misingi yake ya kuanzishwa kwake na kwa sasa kinaendeshwa kinyume cha Katiba na taratibu. Akizungumza na waandishi wa habari juzi nyumbani kwake, Kijitonyama Dar es Salaam,…

Lubuva, wahariri mambo safi

Wahariri wa vyombo vya habari nchini wameagizwa kufuata maadili ya taaluma sambamba na sheria za uchaguzi, ili kuepuka kupitisha habari kutoka vyanzo visivyo rasmi. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewaambia wahariri kwamba wana dhamana…

Serikali yajipanga kudhibiti zebaki

Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu, amesema kuna haja kwa nchi kuweka mifumo thabiti ya kudhibiti vifaa mbalimbali vyenye madini ya zebaki. Dk. Ningu ameeleza hayo hivi karibuni jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua…

SAMIA: Sitakaa ofisini kusubiri kudanganywa

Mgombea Mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amegundua Watanzania wanahitaji mambo mengi tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika wiki iliyopita Dar es Salaam, Samia anaeleza kuhusiana na kile alichokiona ikiwa ni pamoja…