Category: Kitaifa
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
Putin anakuja Tanzania
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Habari mpya
- Serikali yasisitiza ushirikiano kutekeleza programu ya kizazi chenye usawa
- Dk Samia akizungumza na wananchi Nzega
- Bashe aomba mkoa mpya
- Dk Biteko ahimiza kura za kutosha Busonzo
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Jumuiya ya Maridhiano na amani Katavi
- Rvuma yaombea amani kuelekea uchaguzi mkuu
- RC Pwani atoa onyo matumizi mabaya ya fedha za lishe
- Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi
- Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, na tathmini kukutanisha washiriki 1000
- Kumchagua Rais Samia ni kuchagua maendeleo – Dk Biteko
- Rais Samia aahidi kujenga Chuo cha ufundi Stadi Manyoni
- Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria
- LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway
- Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji
- TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
Copyright 2024