Category: Kitaifa
CIDTF: Korosho inaweza kuwainua wakulima
Korosho ni moja ya mazao makuu ya biashara nchini. Kwa sasa zao hili hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania, yaani Lindi na Mtwara ikifuatiwa na Mkoa wa Ruvuma, Pwani na Tanga.
Muhongo akagua ujenzi bomba la gesi
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameeleza kuridhishwa kwake na kasi ya utandazaji na uunganishwaji wa mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.
Lindi, Mtwara wapata washirika Norway
Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania, Profesa Sospeter Muhongo, na viongozi wa miji ya Hammerfest na Sandnessjoen nchini Norway, wamekubaliana kuanzisha ushirikiano baina ya miji hiyo na miji ya Lindi na Mtwara.
JWTZ yasafisha M23
*Waasi wakimbilia porini, washindia matunda mwitu
*Zuma atoa makombora yatumike ikiwa wataendelea
*Hatima yasubiriwa Uganda, silaha njaa kuwatoa porini
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na majeshi washirika ya kimataifa, limewafurumusha askari wote wa kundi la M23 kutoka katika ardhi ya Mji wa Goma, uchunguzi umebaini.
Kamala asisitisa uzalishaji almasi
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Kamala, ameomba Kampuni ya Petra Diamonds ya nchini humo kuongeza uzalishaji na ubora wa almasi inayozalishwa hapa Tanzania.
M23 wafunga virago
*Kichapo cha JWTZ chawachanganya
*Wengine 1,000 wanaswa, waomba suluhu
*Kamati za Anna Abdallah, Lowassa zakutana