Category: Kitaifa
‘Tumuenzi hayati Nyerere kwa kupinga rushwa’
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa vitendo ikiwemo kufanya kazi kwa bidii pamoja na kupinga vikali rushwa. Makamu wa Rais…
Rais Samia kuunguruma Kigoma Oktoba 16
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye…