JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Tanzania,Kenya wakubaliana kuondoa vikwazo 14 vya kibiashara

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya, William Ruto wamekubaliana kuondoa vikwazo 54 kati ya 68 ambavyo vilikuwa vikichangia kukwamisha biashara kati ya nchi hizo. leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 Ikulu Dar es Salaam…

Mkenda akerwa kusuasua kwa ujenzi wa chuo cha ufundi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda (Mb) amekerwa na kusuasua kwa ujenzi wa chuo cha ufundi stadi-VETA mkoani Simiyu. Ameagiza wataalamu wote wa usimamizi wa chuo hicho ambao ni kutoka chuo cha ufundi Arusha waweke kambi…