JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Spika ataka sekta za kilimo, nishati kufungamana

LILONGWE Na Mwandishi Maalumu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo  Kusini mwa Afrika (SADC) kufungamanisha sekta za kilimo na nishati kupitia mikakati  mbalimbali ya kukuza uchumi wanayoitekeleza.  Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa 51…

Waganga wanaoomba viungo vya albino kusakwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Katika kuhakikisha mauaji ya watu wenye ualbino, watoto wachanga na vikongwe yanakomeshwa, Chama cha Waganga wa Tiba Asilia Mkoani hapa kimeazimia kuwasaka wenzao wanaopiga ramli chonganishi na kuomba kupelekewa viungo vya binadamu ili wawatengenezee dawa. Ili…

Pugu Kinyamwezi walalamikia kuvamiwa

Na Aziza NangwaBaadhi ya wakazi wa Pugu Kinyamwezi wanalia kwa kupoteza viwanja, nyumba zao na kanisa walilokuwa wakilitumia kuabudu baada ya mtu waliyemtaja kwa jina moja la Shabani na kundi lake kuwavamia mara kwa mara usiku na mchana.Wakizungumza na JAMHURI…

Makamba:Mradi wa Rusumo kuongeza uhakika wa umeme

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Imeelezwa kuwa, kukamilika kwa mradi wa umeme wa Rusumo wa megawati 80 kutaimarisha hali ya upatikanaji umeme katika mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo kumekuwa na changamoto ya kuwepo kwa umeme pungufu na usio wa uhakika na…

Mapya yaibuka Mkuu wa Gereza

*Ni yule anayetuhumiwa kwa  mauaji ya mfungwa Liwale *Adaiwa kupelekewa kitanda cha  futi tano kwa sita alalie gerezani  *Askari magereza walalamika kulazimishwa  kumpigia saluti wakati ni mahabusu  Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale,…

Ukwepaji kodi uwindaji wa kitalii

*Malipo yafanywa kwenye benki za ughaibuni *Akaunti kadhaa zabainika kufunguliwa Mauritius *Tanzania yaambulia ‘kiduchu’, nyingi zaishia huko *TRA, Wizara Maliasili hawana taarifa za wizi huo DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Baadhi ya kampuni za uwindaji wa kitalii zinatuhumiwa kukwepa…