JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Jenista Mhagama : Serikali kuanza kutoa mikopo ya kilimo kwa vijana

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Jenista Mhagama ambaye ni mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM)Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma amesema Serikali kupitia Wizara ya kilimo itaanza kutoa mikopo ya kilimo kwa vijana, wenye lengo la kuwainua kiuchumi…

Dk Nchimbi atinga Jimbo la Lupembe Njombe

Picha mbalimbali za matukio ya mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Lupembe, waliohudhuria mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni…

SAU yaahidi kulinda vyanzo vya maji

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema kwenye ilani yake ya mwaka 2025-2030 kwamba kitaushirikisha umma kulinda vyanzo vya maji pamoja na kutekeleza miradi yote ya maji na kujenga mabwawa makubwa kwa ajili ya…

Ada Tadea kuanzisha kilimo cha kisasa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ADA TADEA kimesema kitahakikisha kinatumia maarifa zaidi kufufua kilimo na ufugaji wa kisasa. Kupitia Ilani yake ya mwaka 2025-2030 kimesema kitaanzisha mashamba makubwa ya ngano kama vile Basotu, mashamba makubwa ya…

Chaumma kuunda sheria matumizi ya akili unde

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimeahidi kutunga sheria ya matumizi ya akili unde ndani ya siku 100. Kupitia ilani yake yam waka 2025/2030 kimesema sheria hiyo itakuwa kwa ajili ya maendeleo ya…

Jenista Mhagama awaahidi wananchi Kata ya Ndongosi neema ya miundombinu ya barabara

Na Cresensia Kapinga, JamuhuriMedia, Songea Mgombea ubunge wa Jimbo la Peramiho kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jenista Mhagama amewaahaidi wananchi wa kata ya Ndongosi, kuwa Serikali itajenga barabara ya zege kwenye maeneo korofi yenye miinuko na utelezi ili kuhakikisha barabara…