JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Nani mkweli kati ya GSM, Makonda?

Na Mwandishi Wetu Mgogoro wa kugombea eneo la kiwanja namba 60 kilichopo Regent Estate, Kata ya Mikocheni, wilayani Kinondoni kati ya mfanyabiashara, Ghalib Said Mohamed (GSM) na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, unazidi kufukuta baada…

Kwa sasa Urusi inapigana vita mbili

Na Mwandishi Wetu Urusi kwa sasa inaongoza duniani kwa kuwa na vikwazo vingi vya kiuchumi, nafasi inayoiweka kwenye shaka ya kuporomoka kiuchumi. Marekani na mataifa ya Ulaya wanazidi kubuni vikwazo vipya ambapo hivi karibuni wameiwekea vikwazo 2,778 na kuifanya kuwa…

Urusi balaa

*Yaendeleza ubabe Ukraine mataifa yakishuhudia *Putin atishia kutumia silaa za nyuklia, aonya vikwazo *Majeshi yake yadhibiti mtambo muhimu wa nyuklia Ukraine *Waharibu mitambo kitengo cha ujasusi, maghala ya silaha Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Urusi ni balaa. Ni maneno…

RIPOTI MAALUMU Majangili wabuni mbinu mpya

*Wavutiwa na idadi kubwa ya wajane kando ya Hifadhi ya Serengeti  *Wawatumia wajane hao, ‘nyumbantobhu’ kuhifadhi nyara, zana *Mjane ahoji; ‘kiherehere cha nini ilhali bwana wangu haibi mali ya mtu ila nyara za Serikali?’ Mara Na Antony Mayunga  Wakati serikali…

Kilio cha Rais Sambi kuachiwa charindima

NA MWANDISHI WETU Mwakilishi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Comoro ameingilia kati mgogoro wa kuwekwa kizuizini kwa Rais mstaafu wa Visiwa vya Comoro, Ahmed Abdallah Mohamed Sambi. Mwakilishi huyo, Hawa Youssouf, amemtembelea Rais mstaafu Sambi kizuizini alikowekwa kwa amri…

Vitalu vya uwindaji yale yale

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Ugawaji wa Vitalu vya Uwindaji wa Kitalii kwa njia ya kielektroniki umelalamikiwa na sasa baadhi ya wadau wenye tasnia hiyo wameshauri mnada urejewe. Wanasema kurejewa huko si tu kwamba kutakuwa ni kuwatendea haki waombaji…