Category: Michezo
Juma Nyosso Akamatwa na Polisi
Jeshi la Polisi Mkoani Kagera limethibitisha kumshikilia mlinzi wa Kagera Sugar Juma Said Nyosso kwa kosa la kumpiga shabiki anayeaminika kuwa ni wa Simba baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba uliopigwa mjini Bukoba. Tukio hilo limetokea baada…
MTWAREFA YAOMBA RADHI WADAU WA SOKA-MTWARA.
Kutokana na Kamati ya Maadili Kuwakuta na Hatia Viongozi wawili Wa Shirikisho la Soka TFF akiwemo Msimamizi wa Mchezo Mkoa wa Mtwara Dastan Mkundi pamoja na katibu Mku wa Chama Hicho Mkoa wa Mtwara Kizito Mbano Mwenyekiti wa soko Mkoa…
MTWAREFA YAIJIBU TFF KUHUSU TUHUMA ZA VIONGOZI WAKE KUGHUSHI NYARAKA ZA MAPATO.
Siku chahche baada ya Sekretarieti ya Shirikisho la Soka Nchini TFF kutoa taarifa ya kuwafikisha katika kamati ya maadili Viongozi wanne wa Soka Wakiwamo Msimamizi wa Kituo cha Mtwara Dastan Mkundi Katibu Mkuu wa Mkoa wa Mtwarefa Kizito Mbano,katibu Msaidizi…
HUYU HAPA KOCHA MPYA WA SIMBA SC
Baada ya kuhangaika huko na kule ikisaka Kocha wa kujaza nafasi ya Joseph Omong kuifundisha simba kwa msimu wa 2017/2018 , hatimaye wekundu wa msimbazi wamelamba dume na kufanikisha kutia sahihi kwa kocha wao mpya, Pierre Lechantre (miaka 68), raia…
BAADA YA YANGA KUKAZIWA NA MWADUI LEO NI ZAMU YA SIMBA DHIDI SINGIDA UNITED UWANJA UHURU
Wachezaji wa simba wakiwa mazoezini Kikosi cha Singida United Iktakachozeza na Simba Sc Leo Kikosi cha Simba Timu ya Yanga jana ilitoka sare ya kutokufunga na timu ya Mwadui, na leo ni zamu ya Simba kukabiliana na timu Singida…
BREAKING NEWS: THEO WALCOT ATUA EVERTON
WINGA wa Arsenal, Theo Walcott amefuzu vipimo vya afya na kukubali dau la kujiunga na Klabu ya Everton. Taarifa zinaeleza, Walcott alionekana jana mchana akiingia kwenye uwanja wa mazoezi wa Everton maarufu kama , Finch Farm na leo amefuzu vipimo….