JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Hii Hapa Ratiba ya Kombe la FA, Liverpool Uso kwa Uso na Everton

Ratiba ya raundi ya tatu ya michuano ya kombe la Fa, imetangazwa na michezo hiyo itachezwa wikiendi ya januari 6 na 7 mwaka 2018 Liverpool wataanza michuano hiyo kwa kuchuana na wapinzani wao wa jadi Everton, huku bingwa mtetezi Arsenal…

Majaliwa Awataka Wabunge wa EAC Kutumia Michezo Kuimarisha Ushirikiano

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wabunge wanaoshiriki mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wayatumie kuimarisha ushirikiano. Ametoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Desemba 4, 2017) wakati akifungua mechi ya mpira wa miguu iliyozikutanisha timu za Tanzania na Burundi…

Waziri Mkuu Apokea Vifaa Vya Mashindano Ya Majimbo

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kwa ajili ya kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa majimbo ya mkoa wa Dar es Salaam.   Vifaa hivyo vimetolewa na Muwakilishi wa Jimbo…

Tetesi za usajili Ulaya

Baada ya kukamilika kwa usajili wa Neymar kutoka Barcelona kwenda PSG, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Javier Pastore, amempa Neymar  jezi  namba 10 akisema ni shukrani yake kwake ajisikie kuwa nyumbani (tovuti ya PSG). Naye Meneja wa Real Madrid, Zinedine…

Michezo chanzo kikuu ajira

NA MICHAEL SARUNGI Serikali inaandaa mikakati mahsusi ya kuhakikisha sekta ya michezo nchini inakuwa moja ya vyanzo vya ajira na mapato kwa vijana. Akizungumza na JAMHURI baada ya kukabidhi bendera kwa Timu ya Taifa ya Riadha inayoshiriki mashindano ya riadha…

SportPesa kudhamini michezo mingine zaidi

Kampuni ya SportPesa Tanzania, inakamilisha mipango itakayowezesha kupanua wigo wa uwekezaji wake nchini kwa kugeukia michezo mingine, lengo ikiwa ni kuwapa nafasi vijana wengi zaidi kushiriki katika sekta ya michezo, huku ikisisitiza ushirikiano na Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF)….