JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Mashindano ya ‘Ladies First 2025’ kurindima Dar, viongozi watia neno kuimarika kwa wanawake

Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First 2025 yanatarajiwa kufanyika Novemba 29 na 30 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, yakihusisha wanariadha 155 kutoka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yataongozwa na Baraza…

Klabu ya Simba yakubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda

Klabu ya Simba SC imepoteza kwa bao 1–0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda katika mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa leo, Novemba 23, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Bao…

CAF yamtunuku Dk Samia tuzo kwa mchango wake sekta ya michezo

Shiriko la Soka barani Afrika (CAF), limemtunuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya heshima kutokana na mchango mkubwa kwenye maandalizi ya uenyeji wa michuano ya CHAN 2024. Pamoja na Rais Samia, tuzo hiyo pia amekabidhiwa Rais wa Kenya,…

Simba yajiweka vizuri kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Simba SC kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano utakaochezwa wiki ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nsingizini FC ya Eswatini Ushindi wa jumla wa michezo…

Sekta ya madini yachangia ujenzi wa uwanja wa mpira Chunya

*Ujenzi wafikia asilimia 85 *Una viwango vya kutumiwa na Timu zote ikiwemo Simba, Yanga, Azam na nyingine Chunya Katika mwendelezo wa kuchangia ukuaji wa sekta nyingine kwa maendeleo ya Taifa na Jamii, shughuli za madini katika Mkoa wa Kimadini Chunya…

Balozi Mwamweta amtaka mwanariadha Gabriel na wenzake kuiwakilisha vyema Tanzania jijiji Berlin

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Mwamweta amewataka wanariadha wanaoshiriki mashindano ya BMW Berlin-Marathon @berlinmarathon-mwaka 2025 kutetea heshima ya nchi kwa kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika mashindano hayo, yatakayofanyika Berlin Septemba 21, 2025. Balozi Mwamweta alitoa kauli hiyo alipokutana na…