JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Pwani wajipanga kushinda mashindano ya UMITASHUMTA 2025

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umejipanga kushinda katika mashindano ya kitaifa ya UMISSETA na UMITASHUMTA, yanayotarajiwa kufanyika mkoani Iringa kuanzia Juni 8 hadi Julai 4, 2025. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa vyakula kwa ajili ya wanamichezo…

Waziri Mkuu aridhishwa na maboresho yanayoendelea kwa Mkapa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kukagua maboresho ya viwanja kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya AFCON na CHAN…

Dk Biteko afurahishwa mwitikio Tulia Marathoni Mbeya

Na Manka Damian ,JamhuriMedia , Mbeya NAIBU Waziri Mkuu ,Dkt.Dotto Biteko amesema kuwa amefurahishwa kuona mwitikio mkubwa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mashindano ya Riadha Mbeya BETIKA Tulia Marathoni ikiwa ni msimu wa tisa . Dkt.Biteko amesema hayo…

Dk Biteko ashiriki Tulia Marathon Mbeya

📌 Ampongeza Dkt. Tulia kwa ubunifu na kusaidia wahitaji 📌 Wananchi 9,000 wapata bima za afya kupitia Tulia Marathon 📌 Awashukuru wadau na wasanii kwa kushiriki Tulia Marathon Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…

BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea msimu wa tatu wa tuzo za michezo ambazo hutolewa kila mwaka kwa kuwathamini wanamichezo waliofanya vizuri kwa mwaka husika baraza la michezo la taifa(BMT) limesema kuwa tuzo hizo zinatarajiwa kuwa na…

Mwana FA: Mungu akipenda fainali ya Kombe la Shirilisho Afrika itachezwa uwanja wa Mkapa

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Sallaam Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amewatoa hofu wanamichezo nchini mara baada ya uwanja wa Benjamin Mkapa kufungwa hivi karibuni kupisha ukarabati kuchukua nafasi. Uwanja wa Benjamin Mkapa umekuwa…