Category: Michezo
Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
Na Mtemi Sona, Dodoma Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, imara na yenye ushindani mkubwa katika mashindano yote itakayoshiriki. Akizungumza kuhusu mikakati ya kuiboresha klabu hiyo iliyo chini…
Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027
Waziri wa Kilimo na Mlezi wa Kiserikali wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo amesema kazi kubwa inayoendelea kufanyika katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa michezo Jijini Arusha unaotarajiwa kutumika kwenye Michuano ya Soka ya AFCON 2027 ni…
Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026
Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…
Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo maandalizi yamefikia hatua nzuri kwa kuzingatia viwango vya Shirikisho la Mpira wa Miguu…
TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
Na. Catherine Sungura Uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuikabidhi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jukumu la kujenga miundombinu ya barabara za maingilio kwenye uwanja wa utakaotumika wakati wa michuano ya Kombe la Mataifa…
Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi,…





