JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imesisitiza umuhimu wa michezo kwa wafanyakazi kama sehemu muhimu ya kuimarisha afya na kuongeza ufanisi mahali pa kazi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe.Rahma…

Ofisi ya Makamu wa Rais kufungua pazia Mei Mosi na Wizara ya Maji

Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wizara ya Maji tarehe Aprili 16 mwaka huu. Ratiba iliyotolewa Aprili 15, 2026 na…

TPBCA yatangaza ‘Boxing Media Day’ Aprili 15, walimu wa ngumi washauriwa kujipanga

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha Makocha wa Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBCA) kimetangaza kufanyika kwa tukio maalum la Boxing Media Day litakalofanyika Aprili 15, 2026, likiwa na lengo la kuibua vipaji, kuhamasisha maendeleo ya mabondia,…

Kipenzi ashauri mambo matatu Dorefa, ataka soka lichezwe wilayani

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa zamani wa Soka Mkoa wa Dodoma,(DOREFA) Nassoro Kipenzi ameshauri mambo matatu kwa Chama cha Soka Mkoani Dodoma ikiwemo kuhakikisha soka linachezwa wilayani. Kipenzi ametoa kauli hiyo leo Machi 28,2026 wakati akizungumza katika Mkutano Mkuu wa…

Waziri Makonda abainisha madudu ndani ya mashirikisho ya michezo awapa onyo viongozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema migogoro inayojitokeza katika mashirikisho na vyama vya michezo nchini inaathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sekta hiyo na kusababisha vipaji vya vijana kupotea. Makonda…