Category: Michezo
Mbunge Anne Kilango aongoza mapokezi ya shujaa wa AFCON U -17 Same Mashariki
Na Ashrack Miraji, JamhutiMedia, Same Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Serengeti…
Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA ni mkakati wa kujenga vijana wenye afya bora -Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA ni sehemu ya mkakati wa taifa wa kujenga vijana wenye…
CRDB Foundation yatoa zaidi ya milioni 400 kuibua vipaji Ndondo Cup 2026, bingwa kuvuna milioni 30 na safari ya AFCON
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam CRDB Foundation imezindua rasmi msimu wa 13 wa mashindano ya mpira wa miguu ya iMbeju Ndondo Cup 2026 kwa kutenga zaidi ya shilingi milioni 400 kwa ajili ya uendeshaji wa mashindano hayo na zawadi…
Zawadi Ligi ya Muungano kuboreshwa
Na Mwandishi Wetu, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboreshwa zaidi ikiwa pamoja na zawadi kwa bingwa ili kuipa hadhi ya kipekee ligi hiyo. Amesema…
Wanamichezo wa kimataifa kushawishi uwekezaji nchini
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema kuwa ujio wa wanamichezo wa kimataifa nchini Tanzania akiwemo Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu…
Chalamila awahidi Dar City milioni 50/- wakiitoa Petro de Luanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameahidi kutoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Basketball ya Dar City Club iwapo itaibuka na ushindi katika hatua ya robo fainali…





