JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Serikali yanunua tiketi 10,000 kuiona Taifa Stars dhidi ya Madagascar

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amesema kuwa, Serikali imenunua tiketi 10,000 zenye thamani ya Shilingi milioni 20, kwa ajili ya mashabiki kuingia uwanjani kuishangilia Taifa Stars katika mchezo…

Tanzania kutuma wanamichezo 492, kushiriki mashindano ya FEASSA 2025 nchini Kenya

Jumla ya wanafunzi 492 ambao ni wanamichezo mbalimbali wanatarajia kushiriki mashindano ya michezo ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari kwa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) yanayotarajiwa kuanza Agosti 12, 2025 Kakamega nchini Kenya. Kwa mujibu…

Taifa Stars yaanza vyema michuano CHAN, yaichapa Burkina Faso 2-0

Timu ya Taifa ya Tanzania, maarufu kama ‘Taifa Stars’ imeanza vyema kampeni zake katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) kwa mwaka 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina…

Matukio mbalimbali katika sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN

Picha za matukio mbalimbali katika Sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024, leo Agosti 02, 2025, ambapo Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inachuana na Burkina Faso, katika Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.

Taifa Stars kuvuna bil 1/- ikitwaa CHAN 2024

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutoa zawadi ya sh bilioni moja kwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, iwapo itatwaa ubingwa wa michuano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 inayopangwa kuanza Agosti 2 hadi 30 ikiandaliwa kwa…

Mchezaji Fadhil Nkya atwaa ubingwa Lina PG Tour kwa mara ya sita mfululizo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa kulipwa kutoka Gymkhana Dar es Salaam, Fadhil Nkya ameibuka mshindi kwa mara ya sita mfululizo katika mashindano ya gofu ya Lina PG Tour yaliyomalizika jana na kujinyakulia kitita cha Shilingi milioni…