JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Sekta ya madini yachangia ujenzi wa uwanja wa mpira Chunya

*Ujenzi wafikia asilimia 85 *Una viwango vya kutumiwa na Timu zote ikiwemo Simba, Yanga, Azam na nyingine Chunya Katika mwendelezo wa kuchangia ukuaji wa sekta nyingine kwa maendeleo ya Taifa na Jamii, shughuli za madini katika Mkoa wa Kimadini Chunya…

Balozi Mwamweta amtaka mwanariadha Gabriel na wenzake kuiwakilisha vyema Tanzania jijiji Berlin

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Mwamweta amewataka wanariadha wanaoshiriki mashindano ya BMW Berlin-Marathon @berlinmarathon-mwaka 2025 kutetea heshima ya nchi kwa kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika mashindano hayo, yatakayofanyika Berlin Septemba 21, 2025. Balozi Mwamweta alitoa kauli hiyo alipokutana na…

NMB yakabidhi jezi za milioni 36 kwa SHIMIWI

Benki ya NMB imekabidhi jezi zenye thamani ya Shilingi milioni 36 kwa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kukuza michezo miongoni mwa watumishi wa umma nchini. Hafla ya…

Kweli ni Simba Day, furaha ya ushindi 2-0

Licha ya mashabiki wa Simba kupata furaha ya mpira, lakini tamasha la leo pia lilikuwa na burudani mbalimbali za wasanii tofauti, ambao waliwapa raha mashabiki . Tamasha la Simba Day 2025 lilihitimishwa kwa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa kati Wekundu wa…

Ziana Mlawa :SHIMIWI ni mahala pa kazi

📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga…

Bondia Zugo atwaa mkanda wa ubingwa wa dunia

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora BONDIA Abdul Zugo wa Tabora amempiga kwa KO raundi ya tatu bondia Sameer Kumar kutoka India na kuvishwa Mkanda wa Ubingwa wa Dunia wa Uzito wa Kati katika pambano la Kimataifa lililoandaliwa na Shirikisho la…