JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Sanchez anatia huruma

Mshambuliaji wa Klabu ya Manchester United ya Uingereza raia wa Chile, Alexis Sanchez, mwenye umri wa miaka 29, anatajwa kutaka kuachana na klabu hiyo ikiwa ni chini ya mwaka mmoja tu tangu ajiunge nayo akitokea Klabu ya Arsenal. Septemba mwaka…

Henry aizamisha Monaco?

Nahodha wa zamani wa Klabu ya Arsenal na mchezaji wa klabu za Juventus, Barcelona, Red Bulls ya New York pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry, ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa Klabu ya AS Monaco inayoshiriki Ligi Kuu…

Pogba kurejea Turin?

Klabu ya ‘Kibibi Kizee cha Turin’ Juventus imo kwenye hatua za mwisho kumrudisha kiungo wake wa zamani, Paul Pogba. Mchezaji huyo kwa sasa anacheza katika Klabu ya Manchester United. Mipango ya mabingwa hao wa Italia inaanza Januari mwakani. Pogba amekuwa…

Ninataka ushindi – JPM

Rais Dk. John Magufuli, amekutana na kuwaambia wachezaji wa timu ya taifa ya soka (Taifa Stars) kwamba hafurahishwi na matokeo ya timu hiyo, hasa katika kampeni ya kufuzu kucheza fainali za mashindano ya Bara la Afrika (AFCON) mwaka 2019 nchini…

Samatta mguu sawa!

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Ally Samatta, amekuwa lulu kwa klabu tatu za nchini Uingereza. Samatta yuko mguu sawa akisubiri Everton wazidi ‘kujikoki’. Tetesi zinasema nyota huyo anasakwa na West Ham United – ‘Wagonga Nyundo…

Msimbazi ni majonzi

Wanachama na wapenzi wa Klabu ya Soka ya Simba ya Dar es Salaam, pamoja na wapenzi wa soka ndani na nje ya nchi wako kwenye majonzi makubwa baada ya kutekwa kwa mfadhili na mwekezaji mkuu wa klabu hiyo, Mohammed Dewji…