Category: Siasa
Waziri makini hawezi kusherehekea uteuzi
Rais Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko makubwa katika Baraza la Mawaziri. Baadhi ya mawaziri na naibu mawaziri wamepoteza nafasi walizokuwa wakishikilia, kutokana na kashfa ya ufujaji wa fedha na mali nyingine za umma.
Tanzania si nchi masikini, wafanyakazi walipwe vizuri
Leo ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani. Tunawapongeza wafanyakazi wa Tanzania ambao, licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu na kupata ujira mdogo, wameendelea kuwa wavumilivu.
Hongera Nassari, hongera Chadema
Wapigakura wa Arumeru Mashariki wameamua. Wamemchagua mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari kuwa mbunge wao. Nassari amewashinda wagombea wengine saba wa vyama vya siasa, akiwamo Sioi Sumari aliyekuwa akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).