Category: Siasa
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
- Basi dogo na lori la mizigo laua 10, Polisi watoa wito
- Meya Kibaha akisimamisha uzalishaji kiwanda cha Fortune paper kwa uchafuzi mazingira
- Watu 10 wafariki baada ya magari kugongana na kuwaka moto Morogoro
- Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi
- Jeshi la Polisi laimarisha ulinzi sherehe za Mwaka Mpya
Habari mpya
- Basi dogo na lori la mizigo laua 10, Polisi watoa wito
- Meya Kibaha akisimamisha uzalishaji kiwanda cha Fortune paper kwa uchafuzi mazingira
- Watu 10 wafariki baada ya magari kugongana na kuwaka moto Morogoro
- Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi
- Jeshi la Polisi laimarisha ulinzi sherehe za Mwaka Mpya
- Makamu wa Rais atoa pole msiba wa Laurencia Mabella
- Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa
- Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
- Majambazi wanne wauawa Songwe, waliwahi kufungwa miaka 30 jela
- Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu