Category: Siasa
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
- Mahenge yaanza kung’ara katika mapato ya madini
- Serikali yapongeza hospitali ya Shifaa kwa kuzindua kitengo maalum kutibu kisukari
- Watahiniwa 595,816 kuanza mtihani wa kidato cha nne kesho
- Mhandisi Seff aeleza jitihada za TARURA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
- Rais wa kupambana na rushwa Comoro awasili Tanzania kwa ziara
Habari mpya
- Mahenge yaanza kung’ara katika mapato ya madini
- Serikali yapongeza hospitali ya Shifaa kwa kuzindua kitengo maalum kutibu kisukari
- Watahiniwa 595,816 kuanza mtihani wa kidato cha nne kesho
- Mhandisi Seff aeleza jitihada za TARURA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
- Rais wa kupambana na rushwa Comoro awasili Tanzania kwa ziara
- DED Shemwelekwa : Awasihi wafanyabiashara Loliondo kuilinda amani ili kukuza biashara
- Tanzania yasisitiza amani na usalama mkutano wa ICGLR
- Mwigulu aanza kazi rasmi , akomesha vikwazo vya huduma kwa wajawazito
- Waraka wa TEC huu hapa, yashauri uchunguzi huru vurugu za Oktoba 29
- Miradi ya madini imeleta maendeleo Mara
- Dk Nchimbi kumwakilisha Rais Samia Mkutano wa Wakuu wa Nchi Maziwa Makuu Kongo
- Serikali yalenga kuongeza mapato yasiyo ya kodi kutoka kwa Mashirika ya Umma
- Rais Samia : Tutaendelea kukuza sekta ya utalii tukilenga watalii milioni 8 ifikapo 2030
- Hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13 jijini Dodoma hii hapa
- Rais Samia akiwa katika oicha ya pamoja na Spika wa Bunge na Jaji Mkuu