JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Maoni ya Mhariri

Kuwasimamisha tu haitoshi, wafilisiwe

BODI mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imesimamisha wakurugenzi 16 ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazowakabili.

Tanesco inawakera wateja Dar es Salaam

Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), limeanza kuwakera wateja wake jijini Dar es Salaama, hata baada ya uongozi wa wizara husika kutangaza kikomo cha tatizo la mgawo wa nishati hiyo.

Chadema jiepusheni na migogoro

Katika toleo la leo tumechapisha habari zinazoonyesha kuwa kuna mgogoro mkubwa unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mgogoro huu unatajwa kutokana na makundi makubwa matatu yenye kutaka ukuu ndani ya chama hicho. Kundi la kwanza ni la Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kundi hili linadaiwa kuukodolea macho urais baada ya kuona kuwa Chadema sasa inakubalika.

Mwaka mmoja wa Jamhuri, tunawashukuru sana sana!

Desemba 6, 2012 Gazeti JAMHURI linatimiza umri wa mwaka mmoja. Mwaka mmoja si kipindi kirefu, lakini kwa uhai wa chombo cha habari, hasa katika mazingira ya nchi yetu, ni kipindi kirefu mno.

Bila flyover barabara hizi kazi bure

Ujenzi wa barabara unaendelea kwa kasi katika Jiji la Dar es Salaam. Lengo ni kuhakikisha kuwa foleni za magari zinapungua na hivyo kuondoa usumbufu na kuokoa mabilioni ya shilingi yanayoteketea kila siku. Tunaipongeza Serikali, na hasa Wizara ya Ujenzi kwa kazi hiyo nzuri ambayo inaonekana jijini humo na sehemu mbalimbali nchini.

Usalama wa Taifa, TPA, Polisi, TRA wawajibishwe

Vyombo vya dola nchini, kwa mara nyingine vimeiaibisha nchi yetu kimataifa kwa kushindwa kudhibiti uvushaji wa shehena haramu ya meno ya tembo (ndovu) kwenda Dubai na hatimaye Hong Kong.