Category: Siasa
SMZ yaigeuza Pemba Ulaya ndogo
Wakazi wa kisiwa kidogo cha Kokota katika Wilaya ya Wete kisiwani Pemba, wameishukuru Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa kushirikiana na washirika wa maendeleo kuwatatulia kero zilizokuwa zikiwakabili kwa muda mrefu.
Kufuata maadili ni kinga ya madhara kwa waandishi
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga, ametoa changamoto mpya kwa waandishi wa habari nchini.
Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki
Wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, tayari yanasemwa mambo mengi kuhusu ni nani atakayekuwa mrithi wa nafasi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
“Hii kwetu ni kama kinyume kabisa, nitakuwaje na sahihi ya jiji na TABOA, bila kuwa na sahihi ya mwajiri wangu? TABOA inamtambua mwenye basi na mimi natambuliwa na mwenye basi ambaye ni mwajiri wangu, kwahiyo naona si sahihi kuwa na kitambulisho ambacho
“Hii kwetu ni kama kinyume kabisa, nitakuwaje na sahihi ya jiji na TABOA, bila kuwa na sahihi ya mwajiri wangu? TABOA inamtambua mwenye basi na mimi natambuliwa na mwenye basi ambaye ni mwajiri wangu, kwahiyo naona si sahihi kuwa na kitambulisho ambacho hakina sahihi ya mwajiri wangu,” kilisema chanzo cha habari.
Ukikamatwa faini Sh 50,000
Kumekuwa na taratibu za kukamatwa kwa vijana wale wote ambao hawana vibali maalum. Baada ya kukamatwa watuhumiwa wamekuwa wakitakiwa kulipa faini ya Sh 50,000, ambayo kwa kwa namna moja ama nyingine haifahamiki kama ni dhamana au adhabu.
FIKRA YA HEKIMA
Kwa hili, Lema amempiku Zitto
shabiki wa soka kuliko michezo mingine kwa muda mrefu. Kama Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, wangekuwa timu mbili za soka zinazopepetana, safari hii ningemshangilia Lema.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -2
sehemu ya kwanza ya makala haya, wiki iliyopita nilizungumzia chimbuko la vyama vingi vya siasa kabla na baada ya Tanzania kuwa huru. Leo tunaendelea na sehemu ya pili.
Baada ya vyama vya TANU na ASP kuwa imara katika harakati za kudai uhuru, vyama vingine vingi vilianzishwa vikiwa na malengo ama vya kudai uhuru au kupinga harakati za kupigania uhuru na kuendeleza maslahi ya wakoloni kwa mfano, Kule Zanzibar vyama kama Zanzibar and Pemba People Party ZPPP, Umma Party vilianzishwa.