JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

KAULI ZA WASOMAJI

 

Tunaandaa vichaa, maskini

Hotuba iliyochafua hali ya hewa ndani ya Bunge

MAONI YA MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA SHERIA NA KATIBA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU KUHUSU
MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA, YA MWAKA 2013

(Kanuni ya 86(6) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2013)

 

UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika,

Huu ni Muswada wa marekebisho ya pili ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 ya Sheria za Tanzania. Kama Bunge lako tukufu litakavyokumbuka, Sheria hii ilifanyiwa marekebisho ya kwanza kwa kupitishwa kwa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Na. 2 ya mwaka 2012, mwezi Februari ya mwaka jana. Mabadiliko hayo ya kwanza yalihusu Sehemu ya Tatu na ya Nne ya Sheria hii, na yalilenga vifungu mbali mbali vinavyohusu Tume ya Mabadiliko ya Katiba na utekelezaji wa majukumu yake.

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Nchi haiendelei bila viwanda vya kisasa

“Maana ya maendeleo ya leo ya uchumi wenye nguvu ni maendeleo ya viwanda. Nchi yenye viwanda tunasema ni nchi iliyoendelea. Hata hivyo, tuna maana nyingine ya nchi zilizoendelea ya kuziita ni nchi zenye viwanda. Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na viwanda vya kisasa.

BARUA ZA WASOMAJi

Polisi Biharamulo wanatumaliza

Kwa kawaida tunajua kuwa mtu akiwa mikononi mwa askari polisi atakuwa yuko kwenye usalama, lakini huku wilayani Biharamulo, Kagera hilo halipo.

BARUA ZA WASOMAJi

Polisi Biharamulo wanatumaliza

Kwa kawaida tunajua kuwa mtu akiwa mikononi mwa askari polisi atakuwa yuko kwenye usalama, lakini huku wilayani Biharamulo, Kagera hilo halipo.

Vilivyobakia ardhi na watu

Siku zilizopita katika Safu hii, niliwahi kuzungumzia Azimio la Arusha, dira iliyoaminika ingewapeleka na kuwafikisha Watanzania kwenye Ujamaa kamili chini ya Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.