Category: Siasa
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Habari mpya
- Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria
- LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway
- Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji
- TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 9 -15, 2025
- Rais Samia kuwasili Singida
- Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga
- Zaidi ya wanafunzi 100 kundi la pili wakabidhiwa VISA na vitabu vya muongozo na GEL
- Waziri Mkuu akutana na Dk Kashililla
- Waziri Mkuu akutana na balozi wa Tanzania nchini Japan
- Waziri Mkuu wa Japan atangaza kujiuzulu
- Mgomo wasababisha mamilioni ya abiria kukwama London
- Trump yuko tayari kwa vikwazo vipya dhidi ya Urusi
- Bilioni 51 kutumika ujenzi wa barabara, masoko na stendi jijini Arusha
- Mnada wa PIKU waendelee kutoa bidhaa mbalimbali za kisasa kwa washindi
Copyright 2024