Category: Siasa
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (5)
Kiongozi mwingine wa tatu wa dini ambaye ni vizuri kumsoma katika falsafa na kauli zake mbele ya Mwenyezi Mungu, ni Mwenyekiti Kamara Kasupa.
Mwaka 2013 tuwe na maono makubwa
Nitumie wasaa huu kumimina salamu nyingi za Krismasi kwa wasomaji wetu. Ni jambo la kumshukuru Mungu kuona kuwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2012 na kujiandaa kuuanza mwaka 2013.
Nyerere: Tuoneshe demokrasia kivitendo
“… ingawa kwa nadharia muundo wa Chama chetu (akimaanisha CCM) ni wa kidemokrasia, lakini katika vitendo hatuonyeshi demokrasia wakati wote na kwa shughuli zetu zote.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambayo ni sehemu ya wosia wake wa kuitaka CCM ijenge dhana ya kuonesha demokrasia ya kweli kwa vitendo.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
- Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi
- Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo
- Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025
- Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali
- Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate
Habari mpya
- Sangu azitaka kampuni kuzingatia sheria za kazi
- Dugange azitaka halmashauri kununua magari ya taka, kujenga madampo
- Uhamiaji Pwani yadhibiti mianya ya njia za panya, wahamiaji 1,479 wakamatwa mwaka 2025
- Ngome ya wanawake ACT Wazalendo Machi 8 kuweka tabasamu kwa makundi mbalimbali
- Intracom kujenga mitambo mitatu zaidi kuongeza uchakataji wa madini ya Phosphate
- Serikali yajivunia mafanikio sektavya uchukuzi
- Dkt. Jafo afurahishwa na kasi ya Mkandarasi Mradi wa Maji Nyani
- RC Malima aipongeza REA utekelezaji miradi mikubwa ya umeme
- LHRC na PALU waiomba serikali kurejea Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na Watu
- Nchimbi awasili Songea kuhudhura Tamasha la Kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa Vita ya Majimaji
- FCC: TANOGA inarahisisha ukaguzi wa bidhaa
- CCM yatoa salamu za rambirambi kifo cha Kadinali Pengo
- Kunenge: Viongozi Pwani kuweni wabunifu kuendana na kasi ya uchumi wa dunia
- Serikali kuimarisha elimu ya malezi kupitia kampasi ya Kisangara
- Rubio: Iran yatengeneza makombora yanayoweza kufika Marekani