Category: Siasa
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
- Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
- Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
- Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
- Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
- EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
Habari mpya
- Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
- Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
- Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
- Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
- EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
- Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru
- Miaka 62 ya Muungano, Rais Samia asamehe wafungwa katika kuadhimisha
- Mwenyekiti CCM ashiriki Kongamano la Muungano Tunguu, Zanzibar
- Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
- Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ashuhudia mchezo wa Yanga na Azam
- Ushirikiano VETA na Emirates Aluminium waibua matumaini kwa mafundi wa fani ya vioo
- Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14
- THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira
- Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
Copyright 2025