Category: Siasa
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Kwa hili nasimama na David Cameron
NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.
- WRRB, EHCSS ya Misri kuboresha sekta ya ghala
- CRDB yahitimisha Kampeni ya Fainali ndiyo Mpango na Tembo Card Washindi 10 kupelekea Kombe la Dunia 2026
- TAMA yapokea ujumbe wa kitaalamu kutoka Taasisi ya hali ya hewa a Denmark
- Jumla ya macho 996 kwa wagonjwa 823 yamefanyiwa uchunguzi kufanyiwa upasuaji
- Mzee Onyango afariki dunia
Habari mpya
- WRRB, EHCSS ya Misri kuboresha sekta ya ghala
- CRDB yahitimisha Kampeni ya Fainali ndiyo Mpango na Tembo Card Washindi 10 kupelekea Kombe la Dunia 2026
- TAMA yapokea ujumbe wa kitaalamu kutoka Taasisi ya hali ya hewa a Denmark
- Jumla ya macho 996 kwa wagonjwa 823 yamefanyiwa uchunguzi kufanyiwa upasuaji
- Mzee Onyango afariki dunia
- Tanzania, Canada zaimarisha ushirikiano katika kuendeleza haki za wenye ulemavu
- Jaji Mkuu apongeza ushirikiano wa wadau wa mahakama
- Historia ya Uhuru wa Tanzania na ukombozi wa Afrika kung’ara Paris
- CP Kavirondo: Teknolojia ni nguzo muhimu ya urekebishaji wafungwa
- Rais Dk Mwinyi ateta na Rais wa Singapore Ikulu Zanzibar
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Slovakia awasili nchini
- TANESCO Ruvuma yatoa elimu kwa wananchi umuhimu wa kulinda miundombinu ya umeme
- Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa
- Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid afungua mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati kwa sekondari Shinyanga
- Ushirikiano wa wadau ni muhimu kufikia lengo la nishati safi ya kupikia la 2034 – Salome
Copyright 2025