JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Dawati la Jinsia na Watoto Butiama lazua vigelegele, miguno

Na G. Madaraka Nyerere  Mwishoni mwa mwezi uliopita nilihudhuria ufunguzi wa jengo jipya la kituo cha Dawati la Jinsia na Watoto kwa Wilaya ya Butiama. Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro. Wengi walizungumza ingawa…

Mungu anaongea kupitia mazingira (1)

Kila mtu anapaswa kufurahi na kujivunia mazingira anayoishi. Tunapaswa kukuza ndani yetu uwezo wa kushangaa, kufurahia na kumshukuru Mungu kwa kazi nzuri ya uumbaji. Tukazane kumwona Mungu kupitia viumbe vyake kwa kuviona kuwa vinawakilisha sura ya Mungu. Tukiona kujifunua kwa Mungu…

Mtume Muhammad (S.A.W) ni mfano mwema wa kuigwa

Makala yetu leo inaangazia Sura ya 33 (Surat Al-Ahzaab), Aya ya 21 katika Quraan Tukufu ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufu anatuambia kuwa: “Hakika nyinyi mnayo ruwaza njema (mfano mwema) kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa anayemtaraji Mwenyezi Mungu na Siku ya…

Sasa tunapaswa kuwa na BAKWATA mpya

Na Angalieni Mpendu Salaam aleikum! Na wasio Waislamu Tanzania nzima. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) leo linatimiza miaka 51 tangu liundwe tarehe 17 Desemba, 1968 jijini Dar es Salaam baada ya kuvunjwa kwa Jumuiya ya Waislamu wa Afrika ya…

Yah: Naanza kuandika historia ya maisha yangu (4)

Wiki iliyopita niliishia kuwaeleza uzalendo wangu wa kuwa mtunza stoo ya kijiji hasa kipindi kile ambacho tulikuwa katika vita ya kumtoa Nduli kule Uganda. Ni kipindi ambacho nilikuwa nikikusanya vyakula, mifugo na vijana wanaojitolea kwa kuwaandikisha majina. Sikumbuki ni wapi…

MAFANIKIO KATIKA AKILI YANGU (9)

Na Phabian Isaya Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Simuoni siku kadhaa sijui amepotelea wapi? alisema kijana wake aliyekuwa na dharau kwa kijana Noel. Alikuwa hamuamini kwa lolote na alimuona kama bango bovu lililofutika maandishi. Sasa endelea…. “Mmmh! Vijana…