JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Demokrasia isitumike kuleta ghasia nchini

Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao mamlaka yake yanatokana na matakwa ya umma. Ni mfumo wa asasi au chama kinachoshirikisha watu kutoa uamuzi kwenye masuala yanayohusu maendeleo. Katika fasili nyepesi, demokrasia ni uhuru na uwezo wa watu katika kutawala mwenendo…

Yah: Naanza kuandika historia ya maisha yangu (3)

Kijiji kikawa na imani nami na kuamua kwa kauli moja katika mkutano wa hadhara kuwa niwe meneja wa duka na basi la kijiji.  Hapo changamoto zilianza kujitokeza, kwa kuwa nilipaswa kuwa kiongozi wa basi letu, pia liwapo safarini na wakati…

Uhuru miaka 58 bado kuna kususa tu? (1)

Jana, Desemba 9, 2019 taifa letu limetimiza mwaka wa 58 tangu Tanganyika ijipatie Uhuru wake. Huwa tunajivunia tukio hili, lakini kiulimwengu sisi bado wachanga mno kimaendeleo tukilinganishwa na nchi za magharibi. Wale wenzetu wanaitwa kimaendeleo nchi za ulimwengu wa kwanza…

Mafanikio katika akili yangu (8)

Toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Aisee, kumbe mchungaji alikuwa akiniambia ukweli kuwa wewe ni mwandishi mzuri,’’ alizungumza profesa huku akitaka mara baada ya Mariana kumaliza kuangalia gazeti ampatie pia. Mariana alipofungua ukurasa wa tisa wa gazeti akakutana na picha…

Roundup wana kesi Marekani, hapa tunauziwa bidhaa zao

Nimeshtushwa hivi karibuni kusikia dawa ya kuua magugu inayoitwa Roundup ikitangazwa kuuzwa madukani na kituo kimojawapo cha redio nchini. Mwaka 2015 Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitamka kuwa glyphosate, ambayo inatumika kutengeneza Roundup, inaweza kusababisha saratani. Nilishangaa zaidi, baada ya kufanya uchunguzi mfupi, kugundua kuwa…

Kuzuia mali za ndoa kuuzwa wakati kesi ikiendelea

Unakuta umefungua shauri la ndoa, inaweza kuwa maombi ya talaka, mgawanyo wa mali, malezi ya watoto au vyote. Wakati huo ambapo kesi haijaanza, au imeanza lakini haijaisha, unahisi au umeona mali za ndoa ambazo pengine zinatakiwa kugawanywa zikiwa katika hatari…